hadi magitaa anayo, uwe na bendi ukose ngoma?
Hata kenge wamo!
hadi magitaa anayo, uwe na bendi ukose ngoma?
Hivi Mbowe kashalipa deni la NSSF??
Lete katiba ya ACT wewe TUMBIRI...(maana Maswi na Werema wanakuiteni tumbiri kumaanisha unafiki wenu wa kula RUSHWA usiku na mchana kujifanya wasafi).
Hivi Mbowe kashalipa deni la NSSF??
Heshima kwenu wanajamvi,
Habari za kupigwa mnada mali (Shule ya Bakili Muluzi) za Capt John Komba zilitawala anga ya habari kwa muda wa wiki nzima.Capt Komba alikopa jumla ya Tshs 900 milioni toka CRDB na dhamana ya mkopo huo ilikuwa ni viwanja na shule anayoimiliki.Haifahamiki kama fedha alizokopa zilitumika kujenga shule hizo au zilitumika kwa kazi nyingine.
Kilichishangaza wengi ni TACADS kusaidia kulipa sehemu ya deni la Capt Komba !.Ifahamike TACAIDS ni tume ya kupambana na ukimwi Tanzania moja ya majukumu yake makubwa ni kuzuia kuenea ukimwi Tanzania (utoaji elimu) sasa mahali ninapochanganyikiwa ni kuona taasisi hii nyeti inaacha majukumu yake ya msingi na kujivika jukumu la kutoa fedha kulipa deni la Komba,fedha hizi zingeweza kuokoa maisha ya vijana wengi Tanzania.
Ni matumani yangu CAG ataimulika tume ya ukimwi Tanzania.
Habari juu ya uhusika wa TACAIDS ipo hapa => https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/680120-mali-za-kapteni-komba-kupigwa-mnada-na-crdb.html
Gombe advisors ltd na Lekadutigite ltd zilipewa fedha na NSSF , TANAPA ........unajua sababu ?TACAIDS ni taasisi ya serikali kama sikosei. Sasa sijui ilikuwaje taasisi hii imlipe Komba 68m. Alifanya kazi gani huko? Na ilikuwaje Ofisi ya Waziri mkuu iingilie mchakato wa benki kutaka kuuza mali za Komba?
Mwenye majibu atwambie.
Tiba
Gombe advisors ltd na Lekadutigite ltd zilipewa fedha na NSSF , TANAPA ........unajua sababu ?
Ukisikia ufala na umbumbumbu ndio huu! Hili la kutumia fedha za umma kumlipia mtu deni binafsi linataka majibu ya dhati na halina itikadi lakini wewe unaleta maswali mengine ambayo yalishajibiwa huko nyuma na unaambiwa ule ni mkopo hivyo watajuana kwa masharti ya dhamana.
Hivi huu utetezi wa kila akiguswa mtu wa CCM kwa makosa aliyofanya ni wa dhati kweli. Hivi ukisikia Komba kambaka dada yako utakuja hapa na kumtetea kwa vile unalipwa elfu saba kupinga kila kitu? Unahitaji maombi wewe & co
Sent from my iPad using JamiiForums
Lete katiba ya ACT wewe TUMBIRI...(maana Maswi na Werema wanakuiteni tumbiri kumaanisha unafiki wenu wa kula RUSHWA usiku na mchana kujifanya wasafi).
Hii ndio JF ambayo tunaikumbuka kabla haija chakachuliwa
ya miaka 5 iliyopita
hakuna longo longo la akina chadema na ccm
humu watu wanamulika na kufichua ufisadi
Kikubwa Komba akapimwe!... Kama hana tutajibu.. Unahofia nini?!
Join Date : 26th June 2014Hii ndio JF ambayo tunaikumbuka kabla haija chakachuliwa ya miaka 5 iliyopita
MPE jibu mkuu matusi yanini?
mbowe kalipa deni la NSSF?
slaa karudisha chadema mil 140 alizokopa?
wewe umepimwa?wewe umepima?
Gombe advisors ltd na Lekadutigite ltd zilipewa fedha na NSSF , TANAPA ........unajua sababu ?
MPE jibu mkuu matusi yanini?
mbowe kalipa deni la NSSF?
slaa karudisha chadema mil 140 alizokopa?