Hata mi nilisoma tbr miaka hiyo. je hosp. ya kiteto ina hali gani. mitaa ya kanyenye imeamka au bado. na tbr hotel inaendeleaje.
nimezaliwa tabora isevya , tatizo mojawapo la kuwa nyuma ni hawa waarabu maana biashara zote wamekamata wao na wanaabudiwa sana na viongozi. kubwa zaidi UHIRIKINA!Siyo venevyo mhenga, kwizile mkulu wane, ikalaga tayari nyanda kwizile. Yaani tunakuja comrade, tunakuja mkuu wangu, kaa tahari kijana tunakuja. Ukombozi umefika, ninachohitaji ni ushirikiano wenu, muda si muda nitatoa picha na jina langu ili tuwe pamoja katika mtanange, tuko karibu baba...
Sasa usipoenda wewe nano ataenda tabor a kweli toraboraI was born there but I will never set my foot there...wachawi wizi wazinzi..mji mbaya kabisa ilaaniwe tabora
It is no longer Tabora Hotel but Horion Hotel.
mazinzi mana tabora...matoborwa ku.....make
Orion Hotel
Ipunda yafa, mligo gwafika!
Hata mi nilisoma tbr miaka hiyo. je hosp. ya kiteto ina hali gani. mitaa ya kanyenye imeamka au bado. na tbr hotel inaendeleaje.
Mji wangu mkongwe wa Tabora,
Wewe ndio chimbuko la vuguvugu la uhuru wa Tanganyika,
Ndio mji mkubwa wa kwanza hapa Tanganyika enzi za ukoloni,
Leo umesahaulika mkoa wangu Tabora,
Sijui ni nani amekupoteza Tabora yangu,
Umezalisha wasomi na wazalendo wengi Tabora yangu,
Hukujipendelea kwa kujipendelea mkoa wangu Tabora,
Leo unaonekana ni mkoa ulio mwishoni kabisa,
Hata sherehe za miaka 50 hujakumbukwa na kupewa nishani kwa harakati zako Tabora,
Akina Fundikira na Kasangatumbo walikiona cha moto japo walipigania uhuru,
Tabora mji wangu wee...leo umebakiwa ni magofu,
Utalii haushamiri, japo fursa za historia zipo,
NANI KAKUPOTEZA TABORA WANGU,
Umezalisha viongozi lukuki, lakini wamekusahau Tabora,
Leo miundombinu hafifu, shauri ya kukuikomboa Tanganyika,
Nani atakukumbuka Tabora, iwapo hata nishani za uhuru hukupata,
Umejaaliwa ardhi rutuba, misitu na wanyama pori,
Wajanja wanakutafuna Tabora, na kukuachia jangwa bila maendeleo
AMKA TABORA AMKA, NAWE UONJE KEKI YA TAIFA.
Umeibeba historia ya nchi, lakini miaka 50 huthaminiwi.
Umeletewa Sanamu, na uwanja wa mpira usiokamilika,
Barabara hazipitiki, ndio leo wanaamka kukutengenezea barabara baada ya miaka 50,
Si reli wala ndege, barabara ndio tegemeo,
Mamndenyi, hospitali ya Kitete ni pathetic, majengo yamezeeka huduma mbovu, ni hobela hobela!
Hospital imetelekezwa kiujumla, hooi kabsaaaa.
Mkuu kigwangalla hebu tusaidie kuamsha-amsha mkoa wetu.
I was born there but I will never set my foot there...wachawi wizi wazinzi..mji mbaya kabisa ilaaniwe tabora
Mzembe, mpuuzi, mshamba sana wewe(mimi si mzaliwa wa mji huu) bali nimeishi na kusoma MBOKA MANYEMA na jamaa zangu wengi wapo hapo, huu tendei haki kwa kuwa na mdomo mchafu kiasi hicho kwa interest zako tu. Laumu viongozi wa nchi kwa kutokuendeleza mji badala ya mji wenyewe. SHAME ON U:angry::angry::angry::angry::angry:I was born there but I will never set my foot there...wachawi wizi wazinzi..mji mbaya kabisa ilaaniwe tabora
...ishi; we wapi, Itonjanda? LOLVjana Wasojielewa Pia Wapo Tabora,wao Huwa Wanasema'ishi Bora Nmekula Sembe Langu Vurugu Za Nini Ishi'teh Teh! yan wao kujihusisha na kujua mkoa wao unakwenda vp,wanaita ni vurugu. pia nipo tbr-mwinyi
Dahh hivyo vyote ndo vilikuwa viwanja vyetu miaka hiyoooooo, tukitoka shule la wanaume MILAMBO. Tunakula chocho sokoni,mwinyi,kanyenye,game reserve, quarter za jeshi,national housing haoooo. Umenikumbusha sana mkubwa. Nasikia game reserve kwishine!!!!!I love my tabora and freedom is coming. Usjali koz nimezaliwa hapo milambo baracks na isevya cheo, kiloleni, mihogoni, ng'ambo, kanyenye ,mwinyi etc ndo vitaa vyangu" so doncare tabora bkoz SHARD and CHADEMA will b ur saviour.