Tabora mji wa washamba kubayaaa

Tabora mji wa washamba kubayaaa

Nimeishi Tabora kwa zaidi ya miaka 20,nimesomea hukohuko(Tbr mjini)

Sifa za Tbr ni kama zifuatazo

Watu wake ni wakarimu hasa kwa chakula
Maendeleo yanakuwa kwa taratibu sana

Ushirikina upo sana na mtu anaweza kukufanyia kisa tu una maendeleo fulani

Vichaa ni wengi sana na hufanya mapenzi hadharani huku watu wakiwaangalia na kufurahia,wengi pia hutoka kigoma wakija kwa treni

Mtu anaweza kuwa na nyumba ya matope tena katikati ya mji ya urithi na ukitaka kuinunua atakuambia baba au babu alitoa wosia hii nyumba isiuzwe

Warembo wazuri wapo wengu ila nao wana tabia za ushirikina

Warembo wanapenda sana kuolewa hata ukimwambia kiutani lazima akawaambie kwao

Ndoa ni nyingi sana lakini hazidumu

Mabinti wengi huzalia nyumbani kabla ya ndoa

Majungu na fitina ndo kwao

Barabara za Lami ni nyingi sana katikati mwa mji zilifadhiliwa na World Bank

Wanaipenda sana CCM na hasa kina mama huwaambii kitu kwa CCM

Wabunge wao ni wa CCM tu na huwa hawakai miaka 10 ni 5 tu unatolewa,Aden Rage na wengine wa nyuma walikaa miaka 5 wakapigwa chini,hata huyu wa sasa hawezi kupewa miaka mitano mingine,kashachokwa mapema labda itumike nguvu toka juu
Nyymba za matope ni nyingi sana maeneo km Gongoni, kiloleni,chemchem,ng'ambo,mwanza road,mabatini,tambukareli...Ajabu ni kuwa nyumba hz za matope wanatoka watoto wakali sana

Usisahau shule kali kama Tabora boys,Tbr girls, kazima, Milambo na Isevya zimetoa watu wengi ambao ni viongozi,wacheza mpira n.k.

Waarabu na wasomali ni wengi pia

Vyakula ni vingi na bei ni rahisi,ukiwa na 3000 unakula milo mitatu.
Mkuu nataka nikafanye utalii maeneonya igunga ,kuna ndugu zangu naenda kuwatafuta kuna mzee wetu alikuwa askari amefariki tunasikia kaacha mbegu kule
 
Mm sehemu nzuri inaanzia mtaa ninao kaa,qapi naweza kwenda na nini naweza kufanya nikiwa free na free time,aina ya watu wako warm kumix na wageni ,mzungukonwa pesa uko rafiki.
Na yake mambo yetu ya kuficha maji na kuhifdhi nyama zetu za siri yako Byee?
Hayo mambo ya migorofa sijui barabara sijui nyumba tope hayani shughulishi
Mimeshawahi kupigs kambi changerengere na nili enjoy mbaya -totoz biere nikaona siku zinaenda kasi tu
 
mjini haijabadilika mkuu, nimetoka huko mwaka 1994 nikiwa nimemaliza milambo secondary nikarudi 2018 hiim nikapita mitaa ya mwanza road, chemchem, isevya, kiloleni, nyumba nilizoacha miaka hiyo zipo vile vile, kwa kweli haijabadilika, ila nje ya mji kiduuuchu imebadilika, ila bado sana, sasa hujatembelea wilaya zake kama urambo, igunga, nzega, na sikonge, unaweza ukasema usirudi, ila napasifu kwa asali tu
Acha uongo hivi Tabora ya mwaka 1994 ni sawa na Tabora ya leo 2018 tumesoma Tabora miaka unayosema 1990's na tukabahatika kurudi rudi tabora miaka 2018 ukisema Tabora ipo vile vile utakuwa una matatizo tena makubwa unapaswa ufanyiwe maombi

Tabora ya 1994 ifanane na ya leo 2018 ambayo takribani asilimia 80 Barbara zake za ndani zina rami, mkoa umeunganishwa na rami mikoa ya kanda ya ziwa kupitia Barbara ya nzega tabora, kweli uwapendi wanyamwezi,

Tabora ya mwaka 1994 nakumbuka ile kanyenye nilikuwa kama majarubani tu, uko mwinyi ndio hakufikiki majaruba majaruba, uko ipuli ndio usiseme ni maporini, haya uko makokola wanaita uzunguni ndio porini balaa Leo hii kijana aliyezaliwa mwaka 2000 ukimpa hizi hadithi hakuekewi kabisa

Tabora inabadilika tena kwa kasi sana hiyo mitaa kama isevya, ngambo, kiloleni, mwanza road kubadilika ni vigumu sababu ndio miji mikogwe ya wazawa maeneo hayo kubadilika huwa vigumu sana kwa sababu nyumba nyingi za familia za urithi kwaiyo suala kuuza au kubomoa ijengwe nyumba ya kisasa huwa vigumu sana, si kwa tabora tu mikoa mingi nenda kata kogwe ipo vile vile michache imebadilika
 
Wanyamwezi naomba mniambie maana ya mboka manyema.
Mtoa mada Tabora kama kubaya nenda London.
 
Uhovyo wake upo wapi? Unaweza ntajia mkoa ambao si wa hovyo Tanzania?
Mkuu wa mkoa wa Tabora alisema wanawake wa waganga ndio wanene sana tabora kwa ajili ya kula kuku wa kafara , ebu jirekebisheni muache tabia hizi za miaka 47
 
Mkuu wa mkoa wa Tabora alisema wanawake wa waganga ndio wanene sana tabora kwa ajili ya kula kuku wa kafara , ebu jirekebisheni muache tabia hizi za miaka 47
Uko serious unachokiongea akhy. Maana mimi nilijua ungeleta Economics Education, Development facts.
 
Uko serious unachokiongea akhy. Maana mimi nilijua ungeleta Economics Education, Development facts.
Alkhy wangu huko kwenye uchumi tuwaachie BOT walimaliza kazi mapema walitoa mikoa 9 matajiri , lakini TABORA haipo mimi lengo sio kuisema tabora hapana mimi nashangaa Tabora walipata Fursa nyingi sijui hata walifeli wapi!! kama ni haya mambo ya kula makuku ya laana tuache
 
Alkhy wangu huko kwenye uchumi tuwaachie BOT walimaliza kazi mapema walitoa mikoa 9 matajiri , lakini TABORA haipo mimi lengo sio kuisema tabora hapana mimi nashangaa Tabora walipata Fursa nyingi sijui hata walifeli wapi!! kama ni haya mambo ya kula makuku ya laana tuache
Kumbe Tz ina mikoa 10 tu.
 
Kumbukeni Tabora ina historia kubwa kwa uhuru wa nchi.Tabora ni watu walioelewa haraka maana ya vyama Vingi.Walimpa tabu kidogo Nyerere.Ninachowapendea Wanyamwezi sio wanafiki kwenye kusema ukweli wanakuchana live.Nawakumbuka James Mapalala,Kasanga Tumbo, Abdala Fundikira, Kasela Bantu
 
Wanyamwezi most of them ni wafitinishaji sana. Nawajuwa vizuri hawa viumbe, sio watu wazuri.
 
Back
Top Bottom