Tabora mji wa washamba kubayaaa

Tabora mji wa washamba kubayaaa

Hiki kipind sio cha kutongoza mademu mnajua Kutongoza demu kipindi hiki ni sawa na kuhamia Nyumba yenye Deni la luku
 
Wanatuonea wivu mji mzuri tena safi sana pia umebeba history ya nchi yetu. Pia ilishawahi kuwa makao makuu ya Tanganyika pia East Africa ya Mjerumani. Chezea Mboka Manyema wewe.
Hizi sifa zingemisaidia angalau kuingia top 5 ya mikoa yenye utajiri , lakini wapi ni sifa zisizo na faida
 
Hizi sifa zingemisaidia angalau kuingia top 5 ya mikoa yenye utajiri , lakini wapi ni sifa zisizo na faida
utajiri upi!?..watu wanalima na kula,hawana time na vurugu..hyo mikoa yenye utajiri utajiri upo kwa wachache wengine shibe ni hekaya
 
utajiri upi!?..watu wanalima na kula,hawana time na vurugu..hyo mikoa yenye utajiri utajiri upo kwa wachache wengine shibe ni hekaya
Haya ni maneno ya kuficha umasikini , mikoa tajiri inakuja na vigezo vya kitaalam
 
huna hoja..na hatuungi mkono vyama visivyoeleweka
Hoja ninayo kubwa tu , pamoja na sifa zote za tabora kwanini inakimbizwa na mikoa ambayo haina historia kubwa kuizidi tabora ? au ndio sifa za kijinga
 
1. Dar
2.
3.
.
.
.
.
.
.
9.KLM
Tabora haipo tatizo ni nini pamoja na masifa yote hayo ?
dar inaweza kuwa ya kwanza..lakini utajiri upo kwa wachache,mo na wenzake..wangapi dar wana nyumba na wangapi wapangaji,wangapi tabora wana nyumba na wangap wapangaji?..linganisha wanaoshindia mahindi ya kuchoma na kashata dar na tabora,halafu sema wapi wana maisha mazuri
 
Mimi Kisandu Junior nimekaa mikoa mingi ila tabora ni mkoa wa kishamba sana.

chuma ulete wao,liziki ya uchukuliwa kwa kuokota shilingi njiani wao,ukienda kijana lazima ubakie huko huwe na familia wao,ujambazi hata kama una kidogo.
 
dar inaweza kuwa ya kwanza..lakini utajiri upo kwa wachache,mo na wenzake..wangapi dar wana nyumba na wangapi wapangaji,wangapi tabora wana nyumba na wangap wapangaji?..linganisha wanaoshindia mahindi ya kuchoma na kashata dar na tabora,halafu sema wapi wana maisha mazuri
Tafiti azipingwi na maneno ya vijiweni ndugu wala na hisia, wapinge BOT kwa tafiti sio maneno ya kuokota okota
 
Back
Top Bottom