hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,502
- 73,679
😀😀trueOgopa sana maeneo ambayo Sisiem INA kubalika Kwa asilimia kubwa,huwa ni masikini WA elimu,makazi,maendeleo ,afya,nk
😀😀trueOgopa sana maeneo ambayo Sisiem INA kubalika Kwa asilimia kubwa,huwa ni masikini WA elimu,makazi,maendeleo ,afya,nk
Hawwezi kuwazidi wa Rombo Mkuu, kwenye kila wazima wanne, mmoja ni kichaa
Sometimes, ikutaka kuwa free from stresses, maisha ya mikoani ni bora kuliko ya dar.dar inaweza kuwa ya kwanza..lakini utajiri upo kwa wachache,mo na wenzake..wangapi dar wana nyumba na wangapi wapangaji,wangapi tabora wana nyumba na wangap wapangaji?..linganisha wanaoshindia mahindi ya kuchoma na kashata dar na tabora,halafu sema wapi wana maisha mazuri
Tatizo mahali mwarabu alipotawala kuna uswahili sana na maendeleo butu.Ona Ujiji Kigoma,msalala na Bukoli
Naona halijui hilo, hata kiswahili anachoongea kimetokana na kiarabu.mwarabu kakaa dar es salaam pia,akatoa na jina la mji
Mshamba mwenyewe!
Tena bahati yako!
Hii sijaipenda, mjibu kwa hoja zenye nguvu tu, inatosha matusi ni dalili ya kushindwa.utajiri upi wewe pumbavu!!..mbona una hangaika tu kama umechomekwa uume,mkoa gani tajiri tanzania?!
hiyo ni mara ya nne namjibu kwa hoja..mara zote tatu kang'ang'ania upuuzi wakeHii sijaipenda, mjibu kwa hoja zenye nguvu tu, inatosha matusi ni dalili ya kushindwa.
Mimi huwa sipendi hii tabia ya kubagua, maana inaleta ukanda. Tanzania hakuna mkoa uliendelea, kama nchi haijaendelea mkoa, unaendeleaje, mbona wote tunalia hali ngumu, sijasikia watu wakijivunia waliko.