Tabora mji wa washamba kubayaaa

Tabora mji wa washamba kubayaaa

Mimi Kisandu Junior nimekaa mikoa mingi ila tabora ni mkoa wa kishamba sana.
Hili bandiko ni la mtu asiye na elimu, hekima na wala hajitambui.

Vinginevyo atakuwa ni kijana mdogo sana ambaye hata kamasi za utoto hazijakauka.

Sehemu wanayoishi binadamu hauwezi kupasema ni pabaya.

Pangelikuwa ni pabaya wangelihama na kutafuta mahali pengine pakuishi, dunia ni kubwa hii.

Hivi ulishafika maeneo ya mikoa ambayo ni semi desert, hakuna miti, hakuna kilimo chenye tija, maji ni shida, watu wanatumia vinyesi vya mifugo kama nishati ya kupikia, lakini watu wapo, wanapapenda na wanapaona ni pazuri.

Na wakisafiri kwamfano kuja Dar wanapamiss mno kwao na wanarudi hima kwa haraka maana ni pazuri na pamawafaa kwa maisha yao.

Kuzungumzia pahala wanapoendeshea maisha na kujipatia riziki binadamu wenziyo ni zaidi ya utoto.

Haya, toa ushauri wako basi ili wahame huko, waende pazuri unapopaona wewe ni panafaa?
 
Ogopa sana maeneo ambayo Sisiem INA kubalika Kwa asilimia kubwa,huwa ni masikini WA elimu,makazi,maendeleo ,afya,nk
Aisee ukweli unaochoma huu " wacha wameze dawa tu
 
Hili bandiko ni la mtu asiye na elimu, hekima na wala hajitambui.

Vinginevyo atakuwa ni kijana mdogo sana ambaye hata kamasi za utoto hazijakauka.

Sehemu wanayoishi binadamu hauwezi kupasema ni pabaya.

Pangelikuwa ni pabaya wangelihama na kutafuta mahali pengine pakuishi, dunia ni kubwa hii.

Hivi ulishafika maeneo ya mikoa ambayo ni semi desert, hakuna miti, hakuna kilimo chenye tija, maji ni shida, watu wanatumia vinyesi vya mifugo kama nishati ya kupikia, lakini watu wapo, wanapapenda na wanapaona ni pazuri.

Na wakisafiri kwamfano kuja Dar wanapamiss mno kwao na wanarudi hima kwa haraka maana ni pazuri na pamawafaa kwa maisha yao.

Kuzungumzia pahala wanapoendeshea maisha na kujipatia riziki binadamu wenziyo ni zaidi ya utoto.

Haya, toa ushauri wako basi ili wahame huko, waende pazuri unapopaona wewe ni panafaa?
Yeye mwenyewe kwao wanatumia kinyesi cha ng'ombe kama kuni wakizeeka wanaanza kushikana uchawi kisa macho mekundu hawajui ni madhara ya Moshi wa kinyesi cha ng'ombe, asamehewe bure
 
Hahahahah.

Naona anakuchokoza mwaya. Tabora kuzuri sana tatizo hajui uzuri wa Tabora huyo na asiyejua maana hatakiwi kupewa maana my dear.

So Lovely.
Hapo ndipo ninapokupendea dear, mwache aendelee kulala
 
tabora ndiko inakotoka tumbaku...kubaya ila watu wanatengeneza chain ya pesa kama kawaida.
 
Hapo ndipo ninapokupendea dear, mwache aendelee kulala

Thanks my lovely.

Walalao wala usiwaamshe waache walale tu mwaya ila mwenyewe ndio najua kuwa yaliyomo yamo my lovely.

Heshima kwako my.
 
Back
Top Bottom