Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 274
nani kakuambia?
tatizo kama wapo hawalet update!
nani kakuambia?
wakibaki na bukta lazima wacheze na hii kitu aiseehuna hata aibu............asingekuwa ni yeye mngeweza hata kuvua gamba hilo na kubaki na bukta?...........leo anaondoa bukta sasa............mtajibeba
Una akili sana mkuu,..
Kuwataja tu haina maana,...
Atoe mda,kama kawaida,then wakiwa hawaja chukuliwa hatua watanzania waingie mtaani kuwafukuzia mbali!
najua akitoa mda hata kama ni siku mbili JK ata respond,...
Ila akitaja tu mh,....signature yangu itakuwa na ukweli milele
Du itabidi sasa CDM waanzishe idara ya kuratibu deadline, maana hadi leo zile za Mwanza hazijaisha, wametangaza nyingine 21, nategemea na Tbr atatoa 14.
wakibaki na bukta lazima wacheze na hii kitu aisee
![]()
nimepita hapo uwanjani chipukizi mambo hayaja anza nackia saa 10 kuna bendera za kutosha na midundo fulan kwenye spika na vipaza sauti ya kuhamasisha mabadiliko na nimeckia Dr. Katokea kigoma any way nitajongea huko mda c mrefu nitajuza yanayojiritatizo kama wapo hawalet update!
Asante sana BABA JOSE tunakutakia kila la kheri, tunategemea updates za kiukwelinimepita hapo uwanjani chipukizi mambo hayaja anza nackia saa 10 kuna bendera za kutosha na midundo fulan kwenye spika na vipaza sauti ya kuhamasisha mabadiliko na nimeckia Dr. Katokea kigoma any way nitajongea huko mda c mrefu nitajuza yanayojiri
Wakuu wana JF kutoka Tabora tujuzeni tafadhali orodha mpya ya Mafisadi nchini. Dr atahutubia saa ngapi?
tatizo kama wapo hawalet update!
Ok,
Dr. Slaa yupo pamoja na Mabere Marando, Prof Safari, Fred M, na Lwakatare. Mchana wote ilikuwa ni matangazo sasa wanajongea mahala pa takatifu.
Niko uwanjani Dk. Kaingia watu wanazidi kuja kuna wimbo unatumbuizwa yupo marando,prof safari,mpendazoe etc