Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Status
Not open for further replies.
Cpat picha tabora itakavyo rindima na hizo gwanda,atafanyia viwanja gan? 2juze afu na picha 2wekee hapa 2one live.
 
Sio rahisi namna unavyofikiri! Atataja majina na kwa ulofa tu wengi wataona ni kweli.


tangu aanze kuwataja.....kuna mtu hata mmoja aliyetajwa then akabisha kuwa kasingiziwa?............na leo mkitajwa mkutane tena dodoma safari hii sio kuvua gamba ila kujibabua.......

 
ccm sasa hivi wana haha............wanataka kujua nani yumo ndani ya list...........subirini wala msiwe na shida.......tunachojaribu kufanya ni kutoka behewa la mwisho hadi kwenye kichwa cha trni na kumuondoa dreva kwenye kiti......subirini tu...........nape namwonea huruma sana
 
Namnukuu mbowe akiwa mza kwny maandamano: na mwaka huu haki ya mungu lazima kitawaka.pipooooooz!!!!!
 
Pipo pawa ndiyo suluhisho maan huko mjengoni wanatushinda kwa sababu ya uchache!
 
<br />
<br />

Phd ya Ukweli?lakini ni ya canon law,yaani sheria za kidini.Kumbe hii ndiyo ukiipata ni ya ukweli?


upeo mfupi wa kifikiri ndo unakusumbua.............pole sna.............itachukua mda ukungu kukutoka machoni
 
Good trick Dr Slaa. Chochote watakachofanya CCM kuwaondoa mafisadi mnaweza kuclaim kuwa ni kwa shinikizo.
In this,whether you think its true or not you are right.
 
Sio rahisi namna unavyofikiri! Atataja majina na kwa ulofa tu wengi wataona ni kweli.

Kwa ulofa? Yaani hawana kitu kwa sababu kila kitu wanacho mafisadi. Waliotajwa kwenye orodha ya mwanzo wamenyamaza kimya. We msemaji wao unatutuhumu kuwa sisi malofa. POA angalau sisi siyo mafisadi. Avatar yako inasababisha kichefu chefu kwetu sisi malofa.
 
Huyo slaa angeanza kutaja mafisadi waliyomo ndani ya chama chake! Hii kukimbilia kujitia anajua sana mambo ya CCM ni kutafuta ujiko usio na mshiko!

huna hata aibu............asingekuwa ni yeye mngeweza hata kuvua gamba hilo na kubaki na bukta?...........leo anaondoa bukta sasa............mtajibeba

 
bahati mbaya sioni kitufe cha thanks............invizible hpliz rudisha kitufe bana
 
huna hata aibu............asingekuwa ni yeye mngeweza hata kuvua gamba hilo na kubaki na bukta?...........leo anaondoa bukta sasa............mtajibeba


Dah.....mkuu umenipa raha sana.....yaani jamaa watabaki watupu safari hii
 
<LI class=vbseo_like>Like
KIKWAZO CHA MAENDELEO NI 'MCHAKATO.............hii signature yako nimeipenda sana..........maana kila siku serikali wanasema na kutumia neno hili.......mchakato bado unaendela, uko hatua za mwisho,........by the way vipi huko tabora tupe habari mkuu
 
Watu walimuambia huyu mzee, aende kwa wambulu wenzake wampe ubunge tena akataka mamilioni ya CDM sasa ameona umaarufu unaanza kumtupa mkono anaanza kuchanganyikiwa, nadhani anahitaji kanselingi kama mzee mrema.
 
Watu walimuambia huyu mzee, aende kwa wambulu wenzake wampe ubunge tena akataka mamilioni ya CDM sasa ameona umaarufu unamtupa mkona anaanza kuchanganyikiwa, nadhani anahitaji kanselingi kama mzee mrema.


ulimbukeni unakusumbua sana..........hivi hujauona mchana nini?
 
Orodha ya Mwembe Yanga haikuambatana na credible actions. Naomba safari hii Dr. ukimaliza kuwataja uwaeleze waTz nini cha kuwafanya. Kama imechukua muda wa zaidi ya miaka 4 orodho ya awali kutofanyiwa kazi hata nusu, sasa lazima tupande viwango kidogo.

Napendekeza hatua za kisheria, nguvu ya umma (maandamano, migomo nk) viambatane na ushahidi wa watuhumiwa. Ben Ali wa Tunisia ana kesi muda huu, Mubarak nae ana la kujibu. Napendekeza kuwa na proactive- measures from the outset. Name and shame is not good enough now, done them.

Una akili sana mkuu,..
Kuwataja tu haina maana,...
Atoe mda,kama kawaida,then wakiwa hawaja chukuliwa hatua watanzania waingie mtaani kuwafukuzia mbali!
najua akitoa mda hata kama ni siku mbili JK ata respond,...
Ila akitaja tu mh,....signature yangu itakuwa na ukweli milele
 
Hakiaka TBC hawawezi rusha maana daima watawala wangetamani habari hizi ziwafikie watu wachache kadri iwezekanavyo na/au watu wazipate taratibu zaidi ili kufifisha uzito. Kama kuna taarifa rasmi mtujuze ili tusogee karibu na runinga
 
Watu walimuambia huyu mzee, aende kwa wambulu wenzake wampe ubunge tena akataka mamilioni ya CDM sasa ameona umaarufu unaanza kumtupa mkono anaanza kuchanganyikiwa, nadhani anahitaji kanselingi kama mzee mrema.
Wewe hata useme lolote kuhusu Slaa hata kama ni la kweli hakuna atakayekujali, kisa Signature statement yako inajieleza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom