kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,054
- 170
Weka picha!
Ebana orodha ikitoka naomba mtuanikie humu mjengoni. Jf.
wonderful observation ..... JF is more than what the MP's are doing inside a building termed as "a shade of gossips"
tatizo tabora hutuna mwakilishi wa jf zaid ya dr mwenyewe
Sio rahisi namna unavyofikiri! Atataja majina na kwa ulofa tu wengi wataona ni kweli.Hii ni trick nzuri sana, inaweza kusababisho mvutano ndani ya Chama. Hao walioambiwa wajitoe wenyewe au Chama kiwatose, na wao kama Makamba watasema, kupitia media zao, tutoke wote ( pamoja na watakaotajwa leo). Na huu utakuwa mwanzo wa mwisho wa chama cha CCM.