wewe ziweke tu hapa kuna sehemu imeandikwa insert image zia-upload hata kama ni ndogo sis hapa tutazikuza usihofuUwanja unaojulikana kama uwanja wa vita umefurika watu wote wakiwa na shahuku ya kutaka kujua nani na nani watajiunga katika orodha mpya ya mafisadi na ufisadi waliofanya.
Vijana wazee akinamama na watoto wote wapo hapa wakimsubiri mh dr slaa ili awajuze tayari uwanja umeshajaa na kinacho enderea kwa sasa ni wasanii kuimba nyimbo za uhamisishaji na vijana wa chuo kikuu cha saut tawi la tabora ambao hivi karibuni wamefungua tawi la chadema chuoni hapo wamekusanyika wote wakiwa wamevaliia gwanda za kaki nakuonyesha mshikamano wa hari ya juu. Nashindwa kuweka picha kutokana na ufinyu wa taaluma ya it lakini nikifanikiwa nitawawekea.
Rev . Masa ...upo .... habari ya siku nyingi...!
Polic safi walicndikiza msafala mkit anamkalibisha mkurugenz wa masuala ya bungu,smbd mrema pia yupo rwakatare
Jaman na2mia cm picha ctaweza ila wa2 kibao,wengine wanazid kuja ila uwanja uko nusu mpaka sasa mrema john anaongea ,anasema waongeaji ni wa 4,ataanza mpendazoe,prof safari,marando then litamalizia jembe Dk