Wewe ndo mnafiki ukiendelee kutumika utajiua
usifikiri kila mtu ana mawazo kama yako , nimekwambia mafisadi wakihamia chadema chama kitakuwa salama??? Usiwe na mawazo kama ya babu loliondo !!! Ni lazima ujibu hoja!!!
Wapo watu wakihamia chadema hawana madhara , suala ni rostam kuhamia chadema , kama unajibu sema.
Suala la kukamatwa na kushitakiwa ni la kisheria!!!
Slaa ameshitakiwa na kesi yake ya kusingiziwa ipo arusha , je kikwete hajampeleka slaa mahakamani pamoja na yeye kuwa fisadi???
Kumbuka viongozi wete wote ,mbowe ,slaa wamekamatwa kwa amri ya kikwete na kufunguliwa mashitaka sasa kwa nini wewe hutaki rostam, lowasa na chenge wasikamatwe??? Huna akili wewe ni mbumbu tu???
usifikiri kila mtu ana mawazo kama yako , nimekwambia mafisadi wakihamia chadema chama kitakuwa salama??? Usiwe na mawazo kama ya babu loliondo !!! Ni lazima ujibu hoja!!!
Wapo watu wakihamia chadema hawana madhara , suala ni rostam kuhamia chadema , kama unajibu sema.
Suala la kukamatwa na kushitakiwa ni la kisheria!!!
Slaa ameshitakiwa na kesi yake ya kusingiziwa ipo arusha , je kikwete hajampeleka slaa mahakamani pamoja na yeye kuwa fisadi???
Kumbuka viongozi wete wote ,mbowe ,slaa wamekamatwa kwa amri ya kikwete na kufunguliwa mashitaka sasa kwa nini wewe hutaki rostam, lowasa na chenge wasikamatwe??? Huna akili wewe ni mbumbu tu???