Hivi Tabora ni ngome ya chama gani? CCM au swahiba wao CUF? Watu wa TBR hawana mwamko kabisa -- kwanza wakati wa uchaguzi waliyumnbishwa na mahela ya siku moja tu na mkoa ukachagua Wahindi kibau kuwa Wabunge -- hadi wengine vikao vya juu vya CCM viliwatema!
mi nataka bangi na gongo, kwani Lema bao yupo Dodoma?
unataka kupigwa bao ..... ha haaaaaa kweli umeshiba pilau
May be ni Makamba au wenzake...
Mimi mwanaume, viongozi wa CDM wanapiga bao wanaume? du ukiongeza na akina josephine n bhanji unapata tabia zenu.
justify.....
Kweli hapa hakuna jipya..Nimeona kuna thread ya dr slaa kutaja list ya mafisadi hebu amieni huko naona hapa hamna ki2
Ikiwa tunangoja ccm watimize ahadi yao ili sisi wananchi tuone nani fisadi, wavukazane ndani ya chama tutoke kwenye kucha ya mafisadi. dk slaa huyo kutochanganya.
Hana uvumilivu, subira hili linatufanya tuanze kuamini uwezo wake wa kuongozataifa kubwa tz likawa salama. kauli ya Msajili wa vyama vya siasa kuhusu dk slaa inaanza kuonekana
hekima ni kitu muhimu, subira ni muhimu pia.
Watu wanakuzungusha hadi unaonekana zezeta sasaMimi mwanaume, viongozi wa CDM wanapiga bao wanaume? du ukiongeza na akina josephine na bhanji unapata tabia zenu.