sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Barikiwa mpendwa! Endlea ku2juza!
Mpendazoe ameanza kuongea sasa na anasema juu ya nchi kukosa uongozi kutokana na chama dhaifu cha CCM.
Anasema kuwa CCM haijajivua gamba kwani ameingia Zakia kwenye CC wakati yeye ndio alikuwa wazirio wa fedha wakati wa EPA na Kagoda, anasema kuwa Chiligati ndio aliwaambia wabunge wa CCM kuwa wale wanaopambana na ufisadi ndani ya chama watoke kwani hawana hoja kwenye kikao cha kamati ya wabunge.
anasema hapo hakuna gamba lililoptoka ila wameongeza kuimarisha magamba yao.
CCM haiwezi kujivua gamba kwani imepoteza dira ,
Uozo wa CCM umeanzia kwenye matawi kwani ukiona viongozi wa matawi wa CCM wakigombea wanauana wakati hakuna mshahara .
anasema kuwa