msaragambo
Senior Member
- Aug 6, 2008
- 127
- 17
Tunaomba Habari tulio mbali
Jamani list bado haijaanza kutoka? Tupeni habari mlioko jikoni, sasa huku twahamu.
Katika orodha ya MY ya 2007 yule aliyekuwa golikipa -- DB -- alishakufa -- inasemekana. Kwa hiyo orodha itabadilika kidogo. Hivi yule hatari kwa mabao ya ufisadi -- winga wa kushoto -- Na 11 -- JMK safari hii atapangwa position gani?
Katika orodha ya MY ya 2007 yule aliyekuwa golikipa -- DB -- alishakufa -- inasemekana. Kwa hiyo orodha itabadilika kidogo. Hivi yule hatari kwa mabao ya ufisadi -- winga wa kushoto -- Na 11 -- JMK safari hii atapangwa position gani?
dont side track us, we are waiting for a decisive statement, list mpya ya mafisadi, na fyi matawi ya cdm yatawekwa si tabora tu bali kote. Waku nyie mtupe habari za tabora wachana na hao wanaojaribu kutu side track
He he heeeh!! Hivi mgao bado upo?Kwa uzowefu wangu binafsi. Tuliopo Dar tutegemee kukosa umeme ktk maeneo mengi muda wowote kuanzia saa 12:30 hadi saa 4 usiku ili wengi tukose habari njema hiyo.
List mpya ya mafisadi anayo Slaa? hawa ndugu wa tbr itakuwa mpya lakini wewe na wana JF mmei compile mnaiita mpya?
Si ndio kapteni wa kikosi na kiungo mchezeshaji...Katika orodha ya MY ya 2007 yule aliyekuwa golikipa -- DB -- alishakufa -- inasemekana. Kwa hiyo orodha itabadilika kidogo. Hivi yule hatari kwa mabao ya ufisadi -- winga wa kushoto -- Na 11 -- JMK safari hii atapangwa position gani?
kishongo ni nani?There are currently 132 users browsing this thread. (52 members and 80 guests)
Narubongo kapotolo Chakaza Ivuga kuruti Short white Coutinho Don T KiparaDar Miss Judith tzjamani Mwita25 msaragambo Shalom Limbani OPTIMISTIC Rweye Katavi Wambandwa commonmwananchi Yetu Macho raybse Edson liverpoolfc TwendeSasa Gagnija ndaru kitungi Paka_Shume jogi Kishongo walonge Tofty kabila01 Rejao Frank kapama Lyceum STEIN Marehemu Aman Mlangaja Yusuphsabury Dio Miya Ronal Reagan Advocate Jasha Mpiga Nyoka Fasta fasta namboyo BRUCE LEE forty Elli
kwenye nyekundu yanagonga yana...di, yanagonga yana...di
There are currently 132 users browsing this thread. (52 members and 80 guests)
Narubongo kapotolo Chakaza Ivuga kuruti Short white Coutinho Don T KiparaDar Miss Judith tzjamani Mwita25 msaragambo Shalom Limbani OPTIMISTIC Rweye Katavi Wambandwa commonmwananchi Yetu Macho raybse Edson liverpoolfc TwendeSasa Gagnija ndaru kitungi Paka_Shume jogi Kishongo walonge Tofty kabila01 Rejao Frank kapama Lyceum STEIN Marehemu Aman Mlangaja Yusuphsabury Dio Miya Ronal Reagan Advocate Jasha Mpiga Nyoka Fasta fasta namboyo BRUCE LEE forty Elli
kwenye nyekundu yanagonga yana...di, yanagonga yana...di