Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,331
Na bado mtahangaika sana! Moto wa CdM siwa kitoto. Jichubueni na gonzi kabisa maana magamba yamesha chakaa.
There are currently 132 users browsing this thread. (52 members and 80 guests)
Narubongo kapotolo Chakaza Ivuga kuruti Short white Coutinho Don T KiparaDar Miss Judith tzjamani Mwita25 msaragambo Shalom Limbani OPTIMISTIC Rweye Katavi Wambandwa commonmwananchi Yetu Macho raybse Edson liverpoolfc TwendeSasa Gagnija ndaru kitungi Paka_Shume jogi Kishongo walonge Tofty kabila01 Rejao Frank kapama Lyceum STEIN Marehemu Aman Mlangaja Yusuphsabury Dio Miya Ronal Reagan Advocate Jasha Mpiga Nyoka Fasta fasta namboyo BRUCE LEE forty Elli
kwenye nyekundu yanagonga yana...di, yanagonga yana...di
Ahahahahaaah!!! Unamaanisha anahofu kuwa atakuwepo kwenye listi ya mafisadi?There are currently 132 users browsing this thread. (52 members and 80 guests)
Narubongo kapotolo Chakaza Ivuga kuruti Short white Coutinho Don T KiparaDar Miss Judith tzjamani Mwita25 msaragambo Shalom Limbani OPTIMISTIC Rweye Katavi Wambandwa commonmwananchi Yetu Macho raybse Edson liverpoolfc TwendeSasa Gagnija ndaru kitungi Paka_Shume jogi Kishongo walonge Tofty kabila01 Rejao Frank kapama Lyceum STEIN Marehemu Aman Mlangaja Yusuphsabury Dio Miya Ronal Reagan Advocate Jasha Mpiga Nyoka Fasta fasta namboyo BRUCE LEE forty Elli
kwenye nyekundu yanagonga yana...di, yanagonga yana...di
katika kitu mkapa na magufuli waliboronga ni kuuza nyumba za govt,tena wakazikarabati kwa bei juu na kuziuza bei ya chini,mimi sijawaelewa mpaka leo.unauza nyumba ya station master wa reli halafu station master mpya akakae bunju?Sasa kaingia Prof.Safari na ameanza kwa kuzungumzia uuzwaji wa nyumba za serikali na anasema waliouza sio waliojenga , na anataja maeneo mbalimbali zilikojengwa nyumba hizo .
Anauliza je Nyerere aliyejenga angesema kuwa agawane na wakina Kawawa wao Mkapa wangezikuta?
Anasema mzee ruksa angeamua kutoa ruksa wangezikuta?
Anasema kuwa majaji wanakaa hotelini , na gharama ni kubwa sana ,
May be ni Makamba au wenzake...kishongo ni nani?
Uwanja unaojulikana kama uwanja wa vita umefurika watu wote wakiwa na shahuku ya kutaka kujua nani na nani watajiunga katika orodha mpya ya mafisadi na ufisadi waliofanya.
Vijana wazee akinamama na watoto wote wapo hapa wakimsubiri mh dr slaa ili awajuze tayari uwanja umeshajaa na kinacho enderea kwa sasa ni wasanii kuimba nyimbo za uhamisishaji na vijana wa chuo kikuu cha saut tawi la tabora ambao hivi karibuni wamefungua tawi la chadema chuoni hapo wamekusanyika wote wakiwa wamevaliia gwanda za kaki nakuonyesha mshikamano wa hari ya juu. Nashindwa kuweka picha kutokana na ufinyu wa taaluma ya it lakini nikifanikiwa nitawawekea.
Kushinda zile umati zilizokuwepo kabla ya tar 31 oct? apo Tbr alisukumwa Mrema kutoka airport hadi uwanja wa chipukizi kama 8kms hivi, hapohapo akaanza kutangaza baraza lake la mawaziri kilichofuata ni historia.
Mjepu said:Kushinda zile umati zilizokuwepo kabla ya tar 31 oct? apo Tbr alisukumwa Mrema kutoka airport hadi uwanja wa chipukizi kama 8kms hivi, hapohapo akaanza kutangaza baraza lake la mawaziri kilicofuata ni historia.
Ndugu zanguni, nyie huko mmeenda na desktops nini hata sioni "posted via mobile"🙂Mpendazoe ameanza kuongea sasa na anasema juu ya nchi kukosa uongozi kutokana na chama dhaifu cha CCM.
Anasema kuwa CCM haijajivua gamba kwani ameingia Zakia kwenye CC wakati yeye ndio alikuwa wazirio wa fedha wakati wa EPA na Kagoda, anasema kuwa Chiligati ndio aliwaambia wabunge wa CCM kuwa wale wanaopambana na ufisadi ndani ya chama watoke kwani hawana hoja kwenye kikao cha kamati ya wabunge.
anasema hapo hakuna gamba lililoptoka ila wameongeza kuimarisha magamba yao.
CCM haiwezi kujivua gamba kwani imepoteza dira ,
Uozo wa CCM umeanzia kwenye matawi kwani ukiona viongozi wa matawi wa CCM wakigombea wanauana wakati hakuna mshahara .
anasema kuwa
wahi pilau lipo manzese .....