Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,098
- 13,318
CcNi aibu tu za kiafrica, lakini nina uhakija 80% ya sisi waafrica wanapenda 3sum. Hiyo ya watu wanapiga game mi naangalia tu hapana, ingependeza nami nishiriki.
CcNi aibu tu za kiafrica, lakini nina uhakija 80% ya sisi waafrica wanapenda 3sum. Hiyo ya watu wanapiga game mi naangalia tu hapana, ingependeza nami nishiriki.
Wala hata sio huyo....Cc shoga yako
Kwa wabongo hii ' naitwa NGUMU KUMEZA, labda uwe umemchoka huyo mke/mume.Habari zenu wadau wa JF
Leo nmekuja na hii kitu inaitwa TABOO nilipata kuona kwenye channel moja DSTV
Huko Australia wanandoa ili kudumisha penzi lao huwa wana tabia kila baada ya mUda kila mwanandoa anatafuta mtu stranger (sio wa mtaani mnaenda kumtafuta wote wawili) itategemea ataanza nani
Kama ataanza mama basi siku hiyo mtatoka kwenda sinema ama bar za usiku mwenza wako atachagua mtu anayemtaka mtamkaribisha kwenu (KITANDANI) na kuruhusu afanye mapenzi na mkeo ukiwa unaona au kama huwez unaweza kukaa hata sebulen siku nzima...na asubuhi unaandaa chai au chakula kuwatengea na mnajumuika pamoja mezani....
Vivyo hivyo kwa baba nae siku yake anafanya........
Je we mbongo unayeona papuchi au dudu ya mwenza wako ni kama uhai wako utaweza?
Tuongee hapa sitaki matusi tafadhali........................
Hata mshkaji pia huwa anatoa simulizi hizihizi, trust me!NAKUMBUKA kitu nilisha wai fanya ni kimoja tu. tulibadilishana mpenzi wangu na rafiki yangu mimi nika chukua wa jamaa na mpenzi wangu jamaa akamchukua. usiombe show nilio fanya maana hatari nilihisi nimepata kimlupo usiku kucha then baadae kila mtu tu mpenzi wake na tukawa fresh. ila sasa tatizo likawa hapa demu wa jamaa akanipenda sana sana na manzi yangu haku mpenda jamaa hata kidogo sasa kila dakika demu anatafuta chansi ni mle jamaa kama akisafili au akitoka na mishe zake.
Kuna jamaa kutoka cuba alikua bongo anamtoa mke wake sadaka mbele yake lkn sharti uwale wote wawili..inawezekana kwa baadhi ya nchi za wenzetu..
Unasema?
Hiyo saba saba sijaielewa