ibraton
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 353
- 185
Habari zenu wadau wa JF,
Leo nmekuja na hii kitu inaitwa TABOO nilipata kuona kwenye channel moja DSTV
Huko Australia wanandoa ili kudumisha penzi lao huwa wana tabia kila baada ya mUda kila mwanandoa anatafuta mtu stranger (sio wa mtaani mnaenda kumtafuta wote wawili) itategemea ataanza nani
Kama ataanza mama basi siku hiyo mtatoka kwenda sinema ama bar za usiku mwenza wako atachagua mtu anayemtaka mtamkaribisha kwenu (KITANDANI) na kuruhusu afanye mapenzi na mkeo ukiwa unaona au kama huwez unaweza kukaa hata sebulen siku nzima...na asubuhi unaandaa chai au chakula kuwatengea na mnajumuika pamoja mezani....
Vivyo hivyo kwa baba nae siku yake anafanya..
Je, we mbongo unayeona papuchi au dudu ya mwenza wako ni kama uhai wako utaweza?
Leo nmekuja na hii kitu inaitwa TABOO nilipata kuona kwenye channel moja DSTV
Huko Australia wanandoa ili kudumisha penzi lao huwa wana tabia kila baada ya mUda kila mwanandoa anatafuta mtu stranger (sio wa mtaani mnaenda kumtafuta wote wawili) itategemea ataanza nani
Kama ataanza mama basi siku hiyo mtatoka kwenda sinema ama bar za usiku mwenza wako atachagua mtu anayemtaka mtamkaribisha kwenu (KITANDANI) na kuruhusu afanye mapenzi na mkeo ukiwa unaona au kama huwez unaweza kukaa hata sebulen siku nzima...na asubuhi unaandaa chai au chakula kuwatengea na mnajumuika pamoja mezani....
Vivyo hivyo kwa baba nae siku yake anafanya..
Je, we mbongo unayeona papuchi au dudu ya mwenza wako ni kama uhai wako utaweza?