Itakuwa hana mapenzi ya dhati na mke wake, wala hamueshimu au itakuwa ni wale sogea tukae.InasikitishaIla kwa ukwel kabisa hata watu wasiposema hapa hapa tz wapo wanaume wasiokuwa na wivu japo pia najua na akili imepungua kidogo. Mimi nimeshuhudia kabisa mwanaume anamtengenezea mipango rafiki yake ambaye ni bachela akale mzigo kwa mkewe kwa moyo mmoja kabisa
Ni kweli kabisa tuwaachie ngozi nyeupe ndo wanayaweza tuu.Hahaaaa. Ndio maana nikajisemea wanaweza hao wenye ngozi nyeupe.
Kina sie mmh. Ile ya kufumania tu kuna wengine wanafia milangoni sasa hiyo ya kukaa kabisa na kusikilizia mwenzio anavyopokea mautamu. Mmh. Hapana aisee.
wewe umeoa?Habari zenu wadau wa JF
Leo nmekuja na hii kitu inaitwa TABOO nilipata kuona kwenye channel moja DSTV
Huko Australia wanandoa ili kudumisha penzi lao huwa wana tabia kila baada ya mUda kila mwanandoa anatafuta mtu stranger (sio wa mtaani mnaenda kumtafuta wote wawili) itategemea ataanza nani
Kama ataanza mama basi siku hiyo mtatoka kwenda sinema ama bar za usiku mwenza wako atachagua mtu anayemtaka mtamkaribisha kwenu (KITANDANI) na kuruhusu afanye mapenzi na mkeo ukiwa unaona au kama huwez unaweza kukaa hata sebulen siku nzima...na asubuhi unaandaa chai au chakula kuwatengea na mnajumuika pamoja mezani....
Vivyo hivyo kwa baba nae siku yake anafanya........
Je we mbongo unayeona papuchi au dudu ya mwenza wako ni kama uhai wako utaweza?
Tuongee hapa sitaki matusi tafadhali........................
kwangu magenihujawah sikia?mbona hata bongo ipo
NAKUMBUKA kitu nilisha wai fanya ni kimoja tu. tulibadilishana mpenzi wangu na rafiki yangu mimi nika chukua wa jamaa na mpenzi wangu jamaa akamchukua. usiombe show nilio fanya maana hatari nilihisi nimepata kimlupo usiku kucha then baadae kila mtu tu mpenzi wake na tukawa fresh. ila sasa tatizo likawa hapa demu wa jamaa akanipenda sana sana na manzi yangu haku mpenda jamaa hata kidogo sasa kila dakika demu anatafuta chansi ni mle jamaa kama akisafili au akitoka na mishe zake.
makubwa hayaHizo ni tamaduni za baadhi yao... Sio wote. Ni kama tu huku kuna baadhi ya watu wan utamaduni wa mwali 'kujaribiwa' na baba mkwe kwanza kama anamfaa mwanae.
Hiyo nzurii aiseee
Hapana si nachagua mwenyeweTuifanye njoo pm
Hapana si nachagua mwenyewe
Endelea hvo hvo kazanammh mapya haya