Table manners

Table manners



Msosi unageuzwa lecture..

Nilialikwa na rafiki yangu mmoja kumbe alikua na wageni wazungu bwana, akaanza kunipa somo jinsi ya kushika uma mara kuweka vitambaa shingoni ili uschafue nguo..

Nkamwambia braza eh, maisha mafupi haya.. sheria hizo tutazifuata tukiwatembelea nchi zao, kama wapo hapa mi nitanawa na nitakula kwa mikono

Respect our culture
Nitafute fedha kwa kupangiwa na kufuata sheria kibao na wakati wa kula nipangiwe tena sheria jamani?????? Big NO! Ni sisi waafrika tu na ulimbukeni wetu! Mbona waarabu, wachina na wahindi wana mila zao za kula na wanaziheshimu? BTW Mimi sitakaa nizoee huyu mdudu anayeitwa eti western table manners! Hata ninapokuwa kwenye sehemu zinazohitaji nile kwa mpangilio huo mimi huwa sifurahii kabisa chakula.
 
uzungu mwiiiiingi,Africans tuna utumwa wa kifikra,ndo tuliachiwa huo.kitu ugali mlenda,hivyo vyuma vinatafuta nn??tujielewe sasa
 
Shost aliniambia date alipelekwa dinner sehemu, akashika bakuli la supu na kuanza kuria, akamuana jamaa anaangaza macho, salad ilikuja letuce, nyanya na vipande vya mayai ya kuchemsha, mdada alikamata kwa mkono. Baada ya hapo kila akipiga simu jamaa hapokei.😀😀
He he he sasa afanyaje mwee. Ila jamaa naye, hivyo si vitu vya kufundishana tu. Ni bora mtu aagize chakula ambacho amekizoea na hakina mbwembwe kuliwa


Halafu pia ni vizuri kujifunza, sasa kama huyu dada nae utanyanyua vipi bakuli ya soup, ukimwaga?
Na toka lini kipande cha nyanya au mfano yai la kukaanga vikashikwa na mkono si vitateleza? Kutumia Uma ni rahisi zaidi.

Halafu haya mambo ya kujifanya sitaki uzungu, kuna mtu alikula spaghetti na mkono hotel, jamani ilikuwa vituko mbona.
 
Halafu pia ni vizuri kujifunza, sasa kama huyu dada nae utanyanyua vipi bakuli ya soup ukimwaga?
Na toka lini kipande cha nyanya au mfano yai la kukaanga vikashikwa na mkono si vitateleza? Kutumia Uma ni rahisi zaidi.

Halafu haya mambo ya kujifanya sitaki uzungu, kuna mtu alikula spaghetti na mkono hotel, jamani ilikuwa vituko mbona.
Spaghetti unakimbizana nayo,😀😀😀
 
  • Thanks
Reactions: kui
Halafu pia ni vizuri kujifunza, sasa kama huyu dada nae utanyanyua vipi bakuli ya soup ukimwaga?
Na toka lini kipande cha nyanya au mfano yai la kukaanga vikashikwa na mkono si vitateleza? Kutumia Uma ni rahisi zaidi.

Halafu haya mambo ya kujifanya sitaki uzungu, kuna mtu alikula spaghetti na mkono hotel, jamani ilikuwa vituko mbona.
Kweli kujifunza napo sio mbaya. Sio lazima but ukivijua ni vyema pia na haikudhuru chochote. Si mbaya kwenda na speed ya mwendokasi lol
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kweli kujifunza napo sio mbaya. Sio lazima but ukivijua ni vyema pia na haikudhuru chochote. Si mbaya kwenda na speed ya mwendokasi lol
Umkute kaka mwenyewe brother men, anaona so hata kuongozana na wewe kutoka nje ya restaurant.
 
downloadfile-3.jpeg



Huu mpangilio wa cutlery (vijiko, Uma, kisu) kuvitumia ni kutoka nje kwenda ndani. Vya upande wa kulia utaanza na soup spoon going inside, na kushoto utaanza na salad fork. Kama sijakosea Sky.
 
Mmh unataka na me nikashike mayai kwa mkono. Em nipe x-phoza huko


Eti yai kwa mkono, halafu la kukaanga, imekuwa chapati 🙂

Afadhali na yai, sasa spaghetti je?, kisa mtu hataki uzungu.
Shida nyingine za kujitakia kwa kweli.
Uliona mwingine alisema akitumia uma na kisu hashibi wakati idadi ya chakula ni kile kile anachokula kutumia mikono...lol
 
Nawa mikono yako vizuri, futa maji kwa kitambaa, chukua sahani yako,weka chakula kadiri ya mahitaji yako baada ya hapo soma dua/neno anza kukandamiza kwa mikono yako kimya kimya bila maongezi ukimaliza nawa vema mikono yako na umshukuru Mungu kwa chakula alichokujalia. Inatosha
Hii nmeleewa, ila ya mwanzo kanuni kama hisabati vile
 
View attachment 382713


Huu mpangilio wa cutlery (vijiko, Uma, kisu) kuvitumia ni kutoka nje kwenda ndani. Vya upande wa kulia utaanza na soup spoon going inside, na kushoto utaanza na salad fork. Kama sijakosea Sky.
Teh sasa hivi hata sikuelewi ticha. Tutaonana muda wa darsa
Eti yai kwa mkono, halafu la kukaanga, imekuwa chapati 🙂

Afadhali na yai, sasa spaghetti je?, kisa mtu hataki uzungu.
Shida nyingine za kujitakia kwa kweli.
 
Table manners, ustaarab, navyo ni janga la taifa. Asante kutukumbusha japo moja.
 
Back
Top Bottom