Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,430
- 21,078
Kwa kweli kuaga ni kipaji,Hii ya kutokuaga si ya kwako tu, hata mimi ninayo sana hii tabia, tena mimi hata text situmi ni nasepa tu mazima naendelea na mapambano ya kimaisha
Nasemwa sana nibadilike ndio nikijitahidi natuma text.
Uko poa lakini?