Tabia zake utata mtupu

Tabia zake utata mtupu

Niendelee naye?

  • Ndiyo

    Votes: 2 28.6%
  • Hapana

    Votes: 5 71.4%

  • Total voters
    7
Kimbia haraka wala usitake kujua habari zake angekupenda asingekudanganua. Unachungulia choo cha kiume asee
 
Tatizo lako ni kama langu, nina girl friend nampenda namheshimu lakini yeye heshima kwangu hana na ana lugha chafu sana.

Mpaka mda huu nahisi atakuwa na mtu mwingine.

Hivyo basi kwa maelezo yako hapo inaonekana hupendwi. Na kwakuwa wote tuna matizo naomba uni pm.

Inawezekana ukapata mume mwema na mwenye malengo na niko serius kama utakuwa unataka muafaka wa kupata mwanaume bora
 
Mimi na dada wa kitanzania mwenye umri wa miaka 26, nilianza mahusiano na kijana mmoja ambaye hadi sasa tuna muda wa miez 5, kijana huyu analikua akionyesha kutonijali wakati tunaanza mahusiano mimi ndiyo nilikua nikililia attention yake mara nyingi na tuna kaa mji mmoja ala alikua hajali hata zikipita siku3-4 hatujaonana, hapo nikaanza mwambia ukweli akaniona mimi mlalamikaji tu, ikafika wakati nikamwambia nina mimba yake,(nia kujua ataamua nini, ila sikua na mimba kweli, (baada ya kujua afya zetu)), majibu yake yalikua ni kunishauri nikatoe mimba since hakuwa tayari kuwa na familia na anafanya kazi na ni mwanafunzi wa masomo ya masters, well nikampa ukweli kwamba sina mimba nilitaka jua maamuz yake na kama yupo siriaz since hapendi condomise.

Pili wakati tunajuana alinidanganya kuhusu habari zake binafsi, kuhusu amekulia wapi, kwamba yeye ni mgeni katika huu mji tuliokutana, only to find out ni mwenyeji sana, alisoma nini akiwa chuo pia, hivyo vyote alinidanganya na hata kuna wakati nilikua nikimkamata anaongea tofauti na alivyoniambia alibisha, then niliamua vunja uhusiano kwa hvyo vigezo, ila alikuja omba msamaha sana na sababu zake kama hakuwa tayari na majukum ya mtoto, alidanganya sababu ya mazingira tuliyokutana(social network).

Then recently alikuwa darasani kwake anaposoma akawa anaongea na wenzake ana mawazo sana kwamba mke wake anatarajia jifungua na nyumba ndogo inamsumbua kama vile hawaelewani.

Yeye yupo darasa moja mbele yangu, my colleagues they overheard akiwa anasema hivyo, mimi nikaingia darasani na wenzangu wakaanza kumrejea aliyokua akisema sababu kuna mmoja aliona ni kitendo cha ajabu mtu kuongea hivyo vitu mbele za watu kama kuwa na mpango wa kando ni jambo la kawaida sana, wale wenzangu wakamchambua sababu walianza nihadithia mimi, (but walikua hawajui kama namfaham vizuri), mimi nkapata shauku ya kujua ukweli ya hayo, well baadae nikamuuliza akakubali alisema hayo na kusema alikua akitania tu na si kweli kwamba ana mke.

Haya yote yametokea wakati ananiomba msamaha turudiane, na anasema yeye anataka kuwa siriaz na mimi na kupeleka uhusiano wetu mbali, ila nina mashaka kama ni mkweli na nilishaanza msamehe ila imani yangu imenitoweka na yeye.Nimesha msamehe ila kurudiana naona kigugumizi sababu hata mimi ni binadamu naweza kosea siku moja,

USHAURI WAKO WA BUSARA PLEASE,

Wanawake mna mambo mengi sana, hivi mtu umeshamvulia pichu yako hapo unategemea nini si atakufanya atakavo
 
Mapenzi yanatufanya tuwe mbumbumbu....Kila kitu kipo wazi kuwa ANAKUDANGANYA.....

Hamdanganyi ila yeye ndo anajidanganya!kama anaweza kuropoka darasani kuwa ana mke mjamzito unataka aseme nn tena?au anasubiria hadi amtamkie yeye mwenyewe?thubutu!kitumbua cha bure hicho lazima kiendelee kuliwa na jamaa!
 
Tatizo lako ni kama langu, nina girl friend nampenda namheshimu lakini yeye heshima kwangu hana na ana lugha chafu sana.

Mpaka mda huu nahisi atakuwa na mtu mwingine.

Hivyo basi kwa maelezo yako hapo inaonekana hupendwi. Na kwakuwa wote tuna matizo naomba uni pm.

Inawezekana ukapata mume mwema na mwenye malengo na niko serius kama utakuwa unataka muafaka wa kupata mwanaume bora




Fursa hiyo@Baby M sema hili jina la huyu jamaa sijui yaliyomo yamo???
 
Mmmh!!! Haya yote yametokea ndani ya miezi mitano tu???

Hebu naomba ufafanuzi katika kila mahali nilipoweka wino mwekundu, nahisi kama unatuokota...

Mara mpenzi wako amekuzidi darasa moja, mara yupo masters, mara ukaingia darasani (kitu kinachoonesha mnasoma darasa moja)...

Du ze nidful plz
Hata me nashindwa kumuelewa naona anajikanyaga tu
 
Yani ndani ya miezi mitano tena mtu hata haonyeshi kukujali umeshampa na mgegedo mmh watoto wa sikuhizi, alafu mara unasema mpo wote chuo,mara mlikutana kwenye social network, panga vizuri stori yako ueleweke, hata hivyo kwa haraka haraka tu huyo wala hakufai na ukiendelea nae tegemea maumivu zaidi
 
well, the same institute, yeye alitangulia mwaka mmoja mbele eg, 2009, mm nikajoin 2010. yes ni ndani ya 5, now 2 month imekata since tume na tofauti,
the point ya mimi kuingia darasani, ni kwamba tupo institute moja and was on for a group discussion ambapo na yeye na wenzake wamekaa upande mwingine wa darasa..so before mimi sijafika kulikua na classmets ambao mimi ndy nilikua nina discuss nao, wakaanza kuhadithia..
how old are u?
 
Tatizo lako ni kama langu, nina girl friend nampenda namheshimu lakini yeye heshima kwangu hana na ana lugha chafu sana.

Mpaka mda huu nahisi atakuwa na mtu mwingine.

Hivyo basi kwa maelezo yako hapo inaonekana hupendwi. Na kwakuwa wote tuna matizo naomba uni pm.

Inawezekana ukapata mume mwema na mwenye malengo na niko serius kama utakuwa unataka muafaka wa kupata mwanaume bora

hilo jina lako tu linaonyesha hii habari hako ni vise verse
 
Mbona unadanganywa mchana kweupe?
Kama vipi achana nae, kama ni kupoteza time wakati unamsubiri wa kwako aje basi endelea nae
 
I once said this and i will say this again Baby M "The only man you need in your life is the one that proves that he needs you in his", kama tabia ambazo anapotray zina utata and zinaonyesha dat he doesnt need in your in his life,move on and stop being desperate for his love.
 
Last edited by a moderator:
Hivi wote mnasema huyu kaka ni muongo lakini huyu dada aliyeanzisha thread je? Mimi nachukia sana wanawake wanaodanganya kuhusu kupata mimba, ni uongo mbaya sana. Ni unafiki kumsema mwenzako kwa kuwa muongo wakati wewe mwenyewe ni muongo. Wanawake acheni hiyo tabia chafu ya kupima wanaume kwa kuwadanganya kuhusu mimba.
 
thank you for the wiser advice..:smile-big:
 
yes, sometimes you can impose such a question, kama haupo tayari kukondomise uwe tayari kwa matokeo yake ambayo mfano ni kama mimba.... upo? hampo tayari kwa mimba do wat it takes not to empregnant..:baby:
 
Wote bado ni watoto,ila kwa character za huyo jamaa hajafika bado kwako,still anatafuta
 
Mmmh!!! Haya yote yametokea ndani ya miezi mitano tu???

Hebu naomba ufafanuzi katika kila mahali nilipoweka wino mwekundu, nahisi kama unatuokota...

Mara mpenzi wako amekuzidi darasa moja, mara yupo masters, mara ukaingia darasani (kitu kinachoonesha mnasoma darasa moja)...

Du ze nidful plz

She's playing with fire....
Yet ni mchumba for 5 months
I doubt that neyhii
 
Nlidhani sikuhizi wakinadada ni wajanja...kumbe bado kabisa
 
hizi ni hadithi za kutunga,ila kama kweli basi naamini wanawake wameumbwa kwa ajili yetu wanaume na tuwatawale kwa kila jinsi,yaani dalili zote hizo bado mtu unauliza niendelee naye! kuna mtu alisema waalimu wa wanawake ni vipofu! achana naye acha ujinga unchezewa wewe!

Lolest....
 
Back
Top Bottom