Tabia zake utata mtupu

Tabia zake utata mtupu

Niendelee naye?

  • Ndiyo

    Votes: 2 28.6%
  • Hapana

    Votes: 5 71.4%

  • Total voters
    7
ongeza machaguo usizuie mawazo tofauti na hayo mawili
 
Bahati mbaya Mwanaume kapewa damu ya kumtosha tu kuendesha kiungo kimoja kwa wakati mmoja kati ya ubongo na Gegedeo. Damu ikiwa inaenda kwenye Ubongo naona imekua ngumu sana kutukamata.... Mnashindwa kutuelewa hata wakati damu imehamia kwenye hicho kiungo kingine?????

Yaani anakuchezea akili kiasi hiko bado tu bado huelewi????????? Am sincerely sorry!!!

Mimi na dada wa kitanzania mwenye umri wa miaka 26, nilianza mahusiano na kijana mmoja ambaye hadi sasa tuna muda wa miez 5, kijana huyu analikua akionyesha kutonijali wakati tunaanza mahusiano mimi ndiyo nilikua nikililia attention yake mara nyingi na tuna kaa mji mmoja ala alikua hajali hata zikipita siku3-4 hatujaonana, hapo nikaanza mwambia ukweli akaniona mimi mlalamikaji tu, ikafika wakati nikamwambia nina mimba yake,(nia kujua ataamua nini, ila sikua na mimba kweli, (baada ya kujua afya zetu)), majibu yake yalikua ni kunishauri nikatoe mimba since hakuwa tayari kuwa na familia na anafanya kazi na ni mwanafunzi wa masomo ya masters, well nikampa ukweli kwamba sina mimba nilitaka jua maamuz yake na kama yupo siriaz since hapendi condomise.

Pili wakati tunajuana alinidanganya kuhusu habari zake binafsi, kuhusu amekulia wapi, kwamba yeye ni mgeni katika huu mji tuliokutana, only to find out ni mwenyeji sana, alisoma nini akiwa chuo pia, hivyo vyote alinidanganya na hata kuna wakati nilikua nikimkamata anaongea tofauti na alivyoniambia alibisha, then niliamua vunja uhusiano kwa hvyo vigezo, ila alikuja omba msamaha sana na sababu zake kama hakuwa tayari na majukum ya mtoto, alidanganya sababu ya mazingira tuliyokutana(social network).

Then recently alikuwa darasani kwake anaposoma akawa anaongea na wenzake ana mawazo sana kwamba mke wake anatarajia jifungua na nyumba ndogo inamsumbua kama vile hawaelewani.

Yeye yupo darasa moja mbele yangu, my colleagues they overheard akiwa anasema hivyo, mimi nikaingia darasani na wenzangu wakaanza kumrejea aliyokua akisema sababu kuna mmoja aliona ni kitendo cha ajabu mtu kuongea hivyo vitu mbele za watu kama kuwa na mpango wa kando ni jambo la kawaida sana, wale wenzangu wakamchambua sababu walianza nihadithia mimi, (but walikua hawajui kama namfaham vizuri), mimi nkapata shauku ya kujua ukweli ya hayo, well baadae nikamuuliza akakubali alisema hayo na kusema alikua akitania tu na si kweli kwamba ana mke.

Haya yote yametokea wakati ananiomba msamaha turudiane, na anasema yeye anataka kuwa siriaz na mimi na kupeleka uhusiano wetu mbali, ila nina mashaka kama ni mkweli na nilishaanza msamehe ila imani yangu imenitoweka na yeye.Nimesha msamehe ila kurudiana naona kigugumizi sababu hata mimi ni binadamu naweza kosea siku moja,

USHAURI WAKO WA BUSARA PLEASE,
 
well, the same institute, yeye alitangulia mwaka mmoja mbele eg, 2009, mm nikajoin 2010. yes ni ndani ya 5, now 2 month imekata since tume na tofauti,
the point ya mimi kuingia darasani, ni kwamba tupo institute moja and was on for a group discussion ambapo na yeye na wenzake wamekaa upande mwingine wa darasa..so before mimi sijafika kulikua na classmets ambao mimi ndy nilikua nina discuss nao, wakaanza kuhadithia..
 
Mwanaume hakufai kabisa, tena inaelekea ana mke na vimada kibao!!! Sasa ukiona mtu for up to 5 days or 4 hakutafuti hata kukujulia hali si ukue tu kuwa yuko busy na mtu mwingine??? Acha kujidanganya dada yangu.
 
Mmmh!!! Haya yote yametokea ndani ya miezi mitano tu???

Hebu naomba ufafanuzi katika kila mahali nilipoweka wino mwekundu, nahisi kama unatuokota...

Mara mpenzi wako amekuzidi darasa moja, mara yupo masters, mara ukaingia darasani (kitu kinachoonesha mnasoma darasa moja)...

Du ze nidful plz

yani nikama anahadithia ndoto aliyoota...
Anadai jamaa yake anapiga masters,,na yuko mbele yake darasa moja,,
sijui..nimuite Heaven on Earth .!?
 
Last edited by a moderator:
Mbona.mambo yapo wazi tu kwamba wewe ni kipozeo tu mkuu Baby M. ( najua lugha kali lakini nimesema ili ikuingie)
 
Last edited by a moderator:
Hee! Si nimeona kitu ya "vote now" wajameni tunampgia kura nani?
 
Mi kazi yangu itakuwa kuhesabu kura zimefika % ngapi.
Mapenzi ya kuamliwa kwa kula ya ndio na hapana dah.. kweli udigital umetuteka.
Soon itakuwepo mahakama ya mapenzi naomba Mungu anipe maisha marefu.
 
No need to vote % ya comments inatosha + mawazo yangu binafsi
 
No need to vote anymore % ya comments inatosha + mawazo yangu binafsi
 
huyo msanii tu,km vp mshauri ajiunge bongo movie! we chapa lapa mama kungali kweupeeee, ucje juta when its too late!
 
maybe i can say more, alinidanganya yeye si mwenyeji wa Moshi, ila baadae niligundua ni mwenyeji sana, pili, wakati akiwa anaropoka hayo maneno ya kusema mke wake anakaribia kujifungua na huku nyumba ndogo inamsumbua alikua darasani ambapo watu ninao soma nao mimi walimsikia akisema, na wao classmets wakaanza kandia hiyo tabia kwamba sio kitu cha kujisemesha mbele za watu..ambapo ilikua ni watu wapo darasa moja la grup discussion,yeye akiwa na group yake upande mwingine wa darasa..
 
well, the same institute, yeye alitangulia mwaka mmoja mbele eg, 2009, mm nikajoin 2010. yes ni ndani ya 5, now 2 month imekata since tume na tofauti,
the point ya mimi kuingia darasani, ni kwamba tupo institute moja and was on for a group discussion ambapo na yeye na wenzake wamekaa upande mwingine wa darasa..so before mimi sijafika kulikua na classmets ambao mimi ndy nilikua nina discuss nao, wakaanza kuhadithia..

Ungetumia tu kiswahili ungeeleweka vizuri sana yanini kujipa shida na milugha ya watu hii.
Hili ni lugha za kujibia mitihani na kufanyia usahili.
Jaribu tu kutumia lugha iliyo rahisi isiyo kupa shida au basi kama unatumia kiingereza basi uaandike kiingereza tu ili ueleweke..
Ebu ona sasa ulichokifanya hapo.

Niushauri tu ukikufaa ufanyie kazi.
 
na wewe pole kama hujaweza elewa code mixing na switching, yes ni lugha ya watu so nitaichakachua vile i please.. sikuomba ushauri wa language, kama hukuelewa, ahsante pia
 
Back
Top Bottom