Tabia za wanawake wasomi na wenye hela

Tabia za wanawake wasomi na wenye hela

Status
Not open for further replies.
Kweli mkuu, mtu akijua haki zake na kutokubali upumbavu eti anakiburi na jeuri, huko ni kutokujiamini tu kwa wanaume.
Hili si kweli labda useme baadhi yao, mimi nawafahamu wasomi tena wa hali ya juu lakini ni watu poa sana. Hawana majivuno wala maringo, ila wnazijua haki zao na hawakubali upumbavupumbavu wa aina yoyote ile.
 
Huo ni udhaifu Wa wanaume wengi waoga sana binti akiwa msomi ooh ana jeuri,mzuri oooh ntaolea wenzangu!! Hamkosi sababu!!
 
Na ukiona unafikiria kuchapa mwanamke ujue huna akili bali una nguvu na Tz hatujatwaa kombe la ndondi siku nyingi kama uko na nguvu za ziada kapigane upate kombe na pesa. Mwanamke anahitaji mwanaume mwenye akili na busara sana nguvu tuwaachie wanyama wasio jitambue

Meelewa amenaanisha nini; kuchapwa nadhani anakomaanisha ni kule kwa utamu.
 
Huku kumetosha ngoja niende kule kwenye siasa. See you baaadae.
 
Sasa hapa si ndo unapigia mstari kabisa alichosema mtoa mada..?

Kwa hiyo mwanamke aone things are not right na akubali tu kisa ataambiwa kiburi na jeuri kwa kuwa kasoma na ana hela... ukweli ndo huo ukishasoma kuna upuuzi u can not tolorate. Kuna vitu uta question, kuna vitu utaona havi make sense na utasema. Kama mtu atachukulia huo ni ubishi basi aoe mwanamke asiyem challenge, kila kitu sawa mme wangu...! Hela zetu mnazitaka oooh maisha kusaidiana saivi mnalia lia hapa nini!
 
Inategemeana hasa na malezi yake na mahusiano na wengine yaani jinsi anavyojichanganya na watu. Ingekuwa wote wako hivyo basi ma-Prof na ma-dr vyuoni wasingekuwa wameolewa vinginevyo fanya tafiti utuletee wasomi walioshindikana kuolewa na wanaoishi kwenye ndoa kwa amani kabisa

Pia kwa wanawake wenye hela inadepend chanzo cha mafanikio yake ni kipi!! usitegemee alihongwa then aje akuhonge na wewe lazima awe na nyodo nazo maana yeye ndiye anajua mhongaji alikuwa anatoa kichapo cha namna gani
Mi nadhani ni mtazamo hasi kwa wanawake wasomi. Kikubwa ninachokiona ni kuwa wengi wanajitambua na hawapendi kuburuzwa hasa kwa mambo ambayo yako wazi na hayahitaji uwe na madarasa wawili. Wanaume wengi tuna misimamo ambayo wakati mwingine haijengi, tunaing'ng'ania tu eti kwa sababu sisi ni vichwa nadani ya familia. Wanaume wengi waliofanikiwa kwa kiwangi kikubwa ni wale walioshirikiana na wake zao kupanga bila kuwa na mawazo ya kutawaliwa na wake zao. Na wale wenye mawazo ya kutokuamuliwa na wake zao wengi hawako vizuri.
 
Kwa hiyo mwanamke aone things are not right na akubali tu kisa ataambiwa kiburi na jeuri kwa kuwa kasoma na ana hela... ukweli ndo huo ukishasoma kuna upuuzi u can not tolorate. Kuna vitu uta question, kuna vitu utaona havi make sense na utasema. Kama mtu atachukulia huo ni ubishi basi aoe mwanamke asiyem challenge, kila kitu sawa mme wangu...! Hela zetu mnazitaka oooh maisha kusaidiana saivi mnalia lia hapa nini!
Wengine wanataka hata hela ya kuhonga mke mwenzio umpe bila kuuliza anaipeleka wapi. Wanaume wengine hawajakaa vizuri. Mi napenda sana mwanamke anayejitambua na kutimiza wajibu wake kama mke ndani ya nyumba, hiyo ni pamoja na kufanya control ya mapato na matumizi ya familia
 
What do u mean by the term Bullshit? Kwani ukijibu kwa hoja kuna tatizo gani? Acheni kupuuzia mada zingine na kuwa na dharau...baadhi yenu hapahapa mna tabia hizo eventhough your educated,
Kweli mkuu ila umenimix
 
hapana mkuu ni hali ya kucomment tu
Uspanic mkuu..mada kama hizi za kuwachokoza watu wengine ndo wanaconclude hapa hapa wewe piga hoja tu..wakati mwingine mtu anageneralize lakini wewe unapiga hoja tu
 
hii topic yako imelenga nini hasa??? kwamba unatufunza ama??? jipange ndugu
 
Huo ni udhaifu Wa wanaume wengi waoga sana binti akiwa msomi ooh ana jeuri,mzuri oooh ntaolea wenzangu!! Hamkosi sababu!!
Mademu wengi hamjui kutofautisha arrogance na confidence ndo maana watu wanaona sio..mwanaume anataka mwanamke mwenye confidence sio mwanamke arrogance..wengi mnakuwa arrogance
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom