sasa mimi utaniweka kundi gani sijasoma sana, sasa ninatafuta degree yangu ya pili na nina fanya kazi nzuri biashara kwa kifupi hela ninayo siyo ya mawazo hata kidogo na sina jeuri wala sijidai, utaniweka kundi gani? sijafikisha miaka 30 nina mume na watoto
Huwa ni wabishi sana kukubali tabia zao za kiburi na jeuri lakini huo ndio ukweli na mtaona tu reaction zao kwenye hii mada.
Kweli kweli kama unataka kujuwa ndo ni chungu basi wewe oa mwanamke msomi au mwenye hela kukuzidi. Yani huwa ni kero kubwa mno.
jeuri inakuja utakapo olewa. mme akinunua kiwanja na wewe unataka kununua kiwanja. ukiulizwa si ela yangu.
wewe unampasiaga na kumfulia mme wako. oooh situna fanya kazi wote wote tumechoka.
miaka inayo kuja ata kuliwa mtasema mmechoka mgegede housegal
Huwa ni wabishi sana kukubali tabia zao za kiburi na jeuri lakini huo ndio ukweli na mtaona tu reaction zao kwenye hii mada.
Kweli kweli kama unataka kujuwa ndo ni chungu basi wewe oa mwanamke msomi au mwenye hela kukuzidi. Yani huwa ni kero kubwa mno.
Mbona naona kama hivi karibuni kumezuka mtindo wa kuanzisha mada za kuwa-bash sana wanawake?
They can't (all) be that bad now, can they?
Huwa ni wabishi sana kukubali tabia zao za kiburi na jeuri lakini huo ndio ukweli na mtaona tu reaction zao kwenye hii mada.
Kweli kweli kama unataka kujuwa ndo ni chungu basi wewe oa mwanamke msomi au mwenye hela kukuzidi. Yani huwa ni kero kubwa mno.
Hili si kweli labda useme baadhi yao, mimi nawafahamu wasomi tena wa hali ya juu lakini ni watu poa sana. Hawana majivuno wala maringo, ila wnazijua haki zao na hawakubali upumbavupumbavu wa aina yoyote ile.
Basi wangekuwa hata wanajua, ile mambo yenyewe hawajui. Wanaishia kifo cha mende tu.
Wanataka a confident and reliable man,kama mtu ni magumashi hii type itakupasua kichwa tu!!!!!
Yawezekana wapo mapepe na hao kama wasingengesoma na wako apeche alolo ndio ingekuwa balaa kabisa!!!
Kusoma kunasaidia kuwa allergic na bullshit!