Sinewy
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 368
- 172
Basi wangekuwa hata wanajua, ile mambo yenyewe hawajui. Wanaishia kifo cha mende tu.
hata haguni yaani ni kero ha ha ha ha ha ha h ha
Basi wangekuwa hata wanajua, ile mambo yenyewe hawajui. Wanaishia kifo cha mende tu.
Huwa ni wabishi sana kukubali tabia zao za kiburi na jeuri lakini huo ndio ukweli na mtaona tu reaction zao kwenye hii mada.
Kweli kweli kama unataka kujuwa ndo ni chungu basi wewe oa mwanamke msomi au mwenye hela kukuzidi. Yani huwa ni kero kubwa mno.
Mbona umepanic sana.. Au mtoa mada kagusa kitu..?!
Mbona mimi nna tabia hizo lkn nimeishia darasa la 5B......hiyo ni tabia binafsi ya mtu
mwezi wa nane mwaka huu Mungu akijalia nitatimiza miaka minne kwenye ndoa yangu, na bado sijaona tofauti ya kipindi cha nyuma na sasa, ni ulimbukeni tuu wa mtu kuwa hivyo
Afu wewe sijui pacha wangu.. Make tunafanana vitu vingi!!
tofauti huioni wewe anaiona mme wako. anakuvumilia tu.
Hela huna!
Shule huna!
Hata mkwaaara tu wa kiume huna!
Kafie mbele!
Vyote hivyo huna halafu dushelele kuitumia pia huwezi!!
Mwanamke ni kuku kwa mwanaume na haupaswi kumwokopa kwa elim yake au visenti vyake, mbona tunashinda tunawagegeda tena kwa ofa maalum na degree zao? Na hawaruki
Umenimiss enh!
Basi wangekuwa hata wanajua, ile mambo yenyewe hawajui. Wanaishia kifo cha mende tu.
tofauti huioni wewe anaiona mme wako. anakuvumilia tu.
sasa mimi utaniweka kundi gani sijasoma sana, sasa ninatafuta degree yangu ya pili na nina fanya kazi nzuri biashara kwa kifupi hela ninayo siyo ya mawazo hata kidogo na sina jeuri wala sijidai, utaniweka kundi gani? sijafikisha miaka 30 nina mume na watoto
Huwa ni wabishi sana kukubali tabia zao za kiburi na jeuri lakini huo ndio ukweli na mtaona tu reaction zao kwenye hii mada.
Kweli kweli kama unataka kujuwa ndo ni chungu basi wewe oa mwanamke msomi au mwenye hela kukuzidi. Yani huwa ni kero kubwa mno.