Tabia za wanawake wasomi na wenye hela

Tabia za wanawake wasomi na wenye hela

Status
Not open for further replies.
Alafu mwanaume kulia lia ati mke ni mkorofi, ni udhalilishaji kwa wanaume wengine.


Mwanaume dhaifu atasema mwanamke ni kiburi. Nashukuru hata biblia yangu inanitetea katika hili. Kasome Mwanzo 3 alafu ukirudi utaacha hizi kelele za wanawake wasomi na wenye pesa.



Nawasilisha!
 
Mademu wengi hamjui kutofautisha arrogance na confidence ndo maana watu wanaona sio..mwanaume anataka mwanamke mwenye confidence sio mwanamke arrogance..wengi mnakuwa arrogance
There is a thin line katika mtazamo wa huyo mwanaume kwa kuwa baadhi ya wanaume wasiosoma na mkwanja wenyewe wana inferiority complex, na wenyewe hawana confidence ya kum handle huyo mwanamke! As a result anakimbilia kuona mwanamke arrogant! Akishauriwa kidogo utakuta anaanza au kwa kuwa hela unatoa wewe.... enheee ndio hela natoa mie, unataka nikupe hela nisikuulize ukahongee mpaka mke mwenzangu ili uone sikunyanyasi...? Mfyuuuu!
 
Wengine wanataka hata hela ya kuhonga mke mwenzio umpe bila kuuliza anaipeleka wapi. Wanaume wengine hawajakaa vizuri. Mi napenda sana mwanamke anayejitambua na kutimiza wajibu wake kama mke ndani ya nyumba, hiyo ni pamoja na kufanya control ya mapato na matumizi ya familia

Ndo nashangaa... ukabidi nimtwange swali lako mkuu siafudume
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom