nemulo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,589
- 441
Naunga mkono hoja 100%!
Si wote ila wengi wao wenye sifa hizo ni kero Haswa! Haswa!
Naunga mkono hoja 100%!
hehhe apeche alolo ndo nini hyo
Huwa ni wabishi sana kukubali tabia zao za kiburi na jeuri lakini huo ndio ukweli na mtaona tu reaction zao kwenye hii mada.
Kweli kweli kama unataka kujuwa ndo ni chungu basi wewe oa mwanamke msomi au mwenye hela kukuzidi. Yani huwa ni kero kubwa mno.
Inferiority complex ni tatizo sana kwa wanaume wenye elimu ndogo pole....
mwanaume unatakiwa kujiamini!!!
Sasa hapa si ndo unapigia mstari kabisa alichosema mtoa mada..?
huna jela, utegemee maujuzi???
Kwa motivesheni gani?
Mimi ninadhani huyu Jamaa hamjamuelewa; amezungumzia kiburi na si Vinginevyo;
Hebu fikiria una mke alafu siku moja anakuambia " kuanzia wiki hii sitapika chakula kwa mda wa mwezi mzima kwani niko busy, nitapika weekend tu."
Ukilalamika tutasema hiyo ni inferiority complex Evelyn salt?
Na je ni haki mke kumwambia mum ewe kuwa hatapika chakula kwa mda wa miezi 2.
Nadhani wenye experience na hivi vitu wazungumze.
Mkuu mambo vipi? na wewe unataka dharau? hahahaaaaaa.....!!. mia
Aiseeee!!!!!!!!!!
Hakuna wanawake ambao hawajakanyaga skuli na wanaviburi?
aseee nimesoma wacha nijisifu, ila siwezi kumfanyia kiburi mwanaume wangu
na wala siwezi kumwambia apike, labda kwa mapenzi yake ajisikie kanisaidia.
Mimi ninadhani huyu Jamaa hamjamuelewa; amezungumzia kiburi na si Vinginevyo;
Hebu fikiria una mke alafu siku moja anakuambia " kuanzia wiki hii sitapika chakula kwa mda wa mwezi mzima kwani niko busy, nitapika weekend tu."
Ukilalamika tutasema hiyo ni inferiority complex Evelyn salt?
Na je ni haki mke kumwambia mum ewe kuwa hatapika chakula kwa mda wa miezi 2.
Nadhani wenye experience na hivi vitu wazungumze.
Mwanamke ukimchapa vzuri atakuheshimu hâta kama ana hela
Na ukiona unafikiria kuchapa mwanamke ujue huna akili bali una nguvu na Tz hatujatwaa kombe la ndondi siku nyingi kama uko na nguvu za ziada kapigane upate kombe na pesa. Mwanamke anahitaji mwanaume mwenye akili na busara sana nguvu tuwaachie wanyama wasio jitambue
hivyo eeh?