Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Nimependa mwandiko wako![]()
![]()
![]()
![]()
Hujatamani hata kuona zaidi ya mwandiko?!
Nimependa mwandiko wako![]()
![]()
![]()
![]()
Hapana kwa kweliHujatamani hata kuona zaidi ya mwandiko?!
Kaka mimi ni 2 & 3Namba ipi inakuhusu
Na bonge kama Miss Natafuta ana sifa gani?![]()
Uongo mtupu
Amenisingizia vibaya mno. Mungu anamuona lakinikapiga kunako nini?
Ina nini?ile namba tatu ile mmmmmh
3.Wasichana wenye DIMPOZ, MWANYA, MATEGE MBINUKO, MAHIPS NA KITHEMBE, hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi.Ina nini?
Hizo ni stori tu kaka kama zilivyo stori nyingine za kwenye vijiwe vya kahawa hazina ukweli na hata kukaribiana na ukweli hazikaribiani.3.Wasichana wenye DIMPOZ, MWANYA, MATEGE MBINUKO, MAHIPS NA KITHEMBE, hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi.
kwahyo dada wewe sio muaminifu?
ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaHizo ni stori tu kaka kama zilivyo stori nyingine za kwenye vijiwe vya kahawa hazina ukweli na hata kukaribiana na ukweli hazikaribiani.
Oops! Nikadhani labda pengine no. 2 inakuhusu Kwa mbaaali.
Atakua namba 3 huyo
Teh namba yako ni ipi?
Umejuaje mkuu,na wengi wao wanakuwa ni madalali.Mtoa mada utakua ni mView attachment 464993 mojawao