BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
shkamoo joanah kumbe ushawahi kukumbwa na hili balaa www.jamiiforums.com/threads/nashindwa-nifanyaje-bado-nampenda-sana.1097038/Kwa mtazamo wangu
2&3 sio kweli
Sitaki kuamini kama no.6 inakuhusu directly!Aisee kazi kweli kweli
Duu mbona mmeo kazi anayo2 & 3
Hahahaaa! Jamaani.Duu mbona mmeo kazi anayo
Hahahahaha huyo jamaa anaotaSitaki kuamini kama no.6 inakuhusu directly!
Hata Mimi nahisi anakusingizia tu. U are pure innocentHahahahaha huyo jamaa anaota
No.3 kwa wenye dimpos anaweza kuwa sahihi kidogo.Kwa mtazamo wangu
2&3 sio kweli
Anasahau kitendo hicho ni tabia ya mtu na mtu bila kuangalia rangi....labda mademu wake walifanya hivyo akasahu kisababisha ni yeyeHata Mimi nahisi anakusingizia tu. U are pure innocent
Hahaha msamehe bure. Kwa hio wewe upo namba ngapi hapo?Anasahau kitendo hicho ni tabia ya mtu na mtu bila kuangalia rangi....labda mademu wake walifanya hivyo akasahu kisababisha ni yeye
Hakuna hata moja kwa mambo ya kusadikikaHahaha msamehe bure. Kwa hio wewe upo namba ngapi hapo?

Oops! Nikadhani labda pengine no. 2 inakuhusu Kwa mbaaali.Hakuna hata moja kwa mambo ya kusadikika![]()
Atakua namba 3 huyoOops! Nikadhani labda pengine no. 2 inakuhusu Kwa mbaaali.
Aisee inaweza ikawa kweli. Ngoja ajeAtakua namba 3 huyo
Changanya hizo namba hapo juu uone bomu linalotokeaJe msichana Mweusi mwembamba mwenye mwaya anakuwa na sifa gani?!