Unaweza kumkosea wewe yeye ndiye anakuomba samahani yaani mpaka unamuonea huruma.
Basi kila siku jioni ni zoezi la viungo. Mtoto mwili sasa unapangika. Akadumba ya haja imekaa sehemu yake, tumbo sehemu yake. Ubonge upo kwa mbali unaonifanya niwe hoi.
Mimi mwenyewe mwembamba acha nile bata na kibonge wangu wenye rangi ya Zabajaradi aka Chokulate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.