Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,963
- Thread starter
- #121
Duu mbona shem anakoma kama upo kundi namba 3Hapana
Sina kithembe
Yani bora namba 2 kidooogo inaelekea
Ila namba 3 sio kweli kabisa
Hapana sio Mimi
Asantee sana mkuu
Kwangu mie siko hivyo
Sio mmoja wao ndio maana nimepinga![]()
