Tabia za wanawake kulingana na maumbile yao

Tabia za wanawake kulingana na maumbile yao

Anhaaa ndo mana ujue mie napata tabu kumbe majibu ndo haya kila siku naona kama fungu la kukosa kumbe nimekosea kuchagua aiseee
 
Inasemekana wadada wana tabia tofauti katika mapenzi kulingana na maumbo ya miili yao,
1.Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao
2. Wasichana warefu huwa hawawajali wapenzi wao na hawaogopi mahusiano kuvunjia hawajui kubembeleza hata kdogo
3.Wasichana wenye DIMPOZ, MWANYA, MATEGE MBINUKO, MAHIPS NA KITHEMBE, hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi.
4. Wasichana WANENE huongoza kwa MAPENZI YA KWELI yaani akipenda amependa kweli
5. Wasichana WEMBAMBA hawa huwa ni WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa kutendwa!
6.Wasichana wenye NGOZI NYEUSI wanaongoza kwa KUTOA MIMBA na kupenda wanaume warefu na weupe
7.Wasichana weupe wakiongoza kwa kuzalia nyumbani, na hawa weupe wengi wao huolewa wakiwa na watoto tayari huku wakipenda kuolewa na waarabu kuliko wanaume weusi.

Kwa uzoefu wako wa maumbo mbalimbali waiyonayo dada zetu au wapenzi wetu zinalingana au kutofautiana na hizi..?
kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom