Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,867
Wallah nakuapia kila mmoja wetu hapa hakosi tabia yake....!!!!
Haaa haaa n hatar hapa kuna baadh ya watu panatugusa inachekesha kisha inareflect ukiisoma
*Bata:* Kujivuta vuta, kufanya kazi polepole na kuendekeza uvivu mpaka mambo ya kikundi yanazorota au kufa kabisa.
*Bundi:* Mtu anayefikiria ana akili kuliko wote kwenye kikundi- hutumia lugha ngumu kueleweka
*Chura:* Rudia rudia kitu kile kile mpaka anawachosha wenzake kundini
*Kenge:* Hatumii akili sawasawa, ujinga mwingi na kufanya maamuzi ya ovyo yenye kuwakatisha tamaa wenzake
*Kiboko:* Kulala lala na kupiga miayo, wakati wenzake wanachacharika, yeye ni kukaa tu hafanyi kazi.
*Kifaru:* Yeye hushambulia wengine kwenye kikundi bila sababu
*Kinyonga:* Kigeugeu, akiwa kwa mwanakikundi huyu anasema hili na akiwa kwa mwingine anasema tofauti
*Kobe:* Hujitoa akiudhiwa, hana uvumilivu kwenye changamoto zinazoikabili kikundi.
*Kuku:* Kuvuruga palipotengenezwa, kwenda tofauti na maono ya kikundi kwa kujali na kuzingatia mambo ya muda mfupi tu.
*Mbuni:* Huficha kichwa na hufikiri hakuna shida kwenye kikundi hata kama zipo shida nyingi
*Nyati:* Kujihami tu kwa sababu ya woga, hakosolewi, ukimgusa tu anaazisha vita vya maneno au kupigana
*Nyoka:* Anajificha huku akiuma bila kusema. Mchonganishi
*Nyumbu:* Woga na kutotumia akili kabisa.
*Paka:* Yeye anataka ahurumiwe tu na wenzake, hana mchango wowote kwenye kikundi.
*Panya:* Hachangii chochote yeye hujificha tu na kujitokeza wakati wa neema.
*Popo:* Hana msimamo, Kwa wanaokubali hoja yupo na kwa wanaopinga hoja yupo. Haeleweki.
*Punda:* Wagumu kubadilika hata umuelimishe kwa namna gani misimamo yake ni yale yale ya zamani.
*Samaki:* Hachangii hajibu, kazi kuteleza, kukwepa na kutoweka tu na huonekana hali ikitulia na kuwa shwari.
*Simba:* Hupigana kama hakubaliwi mawazo yake na wanakikundi.
*Sungura:* Hukimbia kama kuna dalili za hatari na kwenda kinyume na makubaliano ya kikundi
*Tausi:* Yeye huringisha na mambo mazuri aliyonayo ambayo wanakikundi wenzake hawana.
*Tembo:* Hufunga njia bila sababu watu wasipite. Huzuia mawazo, maamuzi ya kikundi yasifanikiwe bila sababu.
*Tumbili:* Mizaha mizaha tu wakati wote hayuko makini hata kwa mambo muhimu ya kikundi.
ukiweza mtaje mwenye tabia mojawapo kati ya hizo... Mtaje unayemmudu yasije kuwa mengine
Haaa haaa n hatar hapa kuna baadh ya watu panatugusa inachekesha kisha inareflect ukiisoma
*Bata:* Kujivuta vuta, kufanya kazi polepole na kuendekeza uvivu mpaka mambo ya kikundi yanazorota au kufa kabisa.
*Bundi:* Mtu anayefikiria ana akili kuliko wote kwenye kikundi- hutumia lugha ngumu kueleweka
*Chura:* Rudia rudia kitu kile kile mpaka anawachosha wenzake kundini
*Kenge:* Hatumii akili sawasawa, ujinga mwingi na kufanya maamuzi ya ovyo yenye kuwakatisha tamaa wenzake
*Kiboko:* Kulala lala na kupiga miayo, wakati wenzake wanachacharika, yeye ni kukaa tu hafanyi kazi.
*Kifaru:* Yeye hushambulia wengine kwenye kikundi bila sababu
*Kinyonga:* Kigeugeu, akiwa kwa mwanakikundi huyu anasema hili na akiwa kwa mwingine anasema tofauti
*Kobe:* Hujitoa akiudhiwa, hana uvumilivu kwenye changamoto zinazoikabili kikundi.
*Kuku:* Kuvuruga palipotengenezwa, kwenda tofauti na maono ya kikundi kwa kujali na kuzingatia mambo ya muda mfupi tu.
*Mbuni:* Huficha kichwa na hufikiri hakuna shida kwenye kikundi hata kama zipo shida nyingi
*Nyati:* Kujihami tu kwa sababu ya woga, hakosolewi, ukimgusa tu anaazisha vita vya maneno au kupigana
*Nyoka:* Anajificha huku akiuma bila kusema. Mchonganishi
*Nyumbu:* Woga na kutotumia akili kabisa.
*Paka:* Yeye anataka ahurumiwe tu na wenzake, hana mchango wowote kwenye kikundi.
*Panya:* Hachangii chochote yeye hujificha tu na kujitokeza wakati wa neema.
*Popo:* Hana msimamo, Kwa wanaokubali hoja yupo na kwa wanaopinga hoja yupo. Haeleweki.
*Punda:* Wagumu kubadilika hata umuelimishe kwa namna gani misimamo yake ni yale yale ya zamani.
*Samaki:* Hachangii hajibu, kazi kuteleza, kukwepa na kutoweka tu na huonekana hali ikitulia na kuwa shwari.
*Simba:* Hupigana kama hakubaliwi mawazo yake na wanakikundi.
*Sungura:* Hukimbia kama kuna dalili za hatari na kwenda kinyume na makubaliano ya kikundi
*Tausi:* Yeye huringisha na mambo mazuri aliyonayo ambayo wanakikundi wenzake hawana.
*Tembo:* Hufunga njia bila sababu watu wasipite. Huzuia mawazo, maamuzi ya kikundi yasifanikiwe bila sababu.
*Tumbili:* Mizaha mizaha tu wakati wote hayuko makini hata kwa mambo muhimu ya kikundi.
ukiweza mtaje mwenye tabia mojawapo kati ya hizo... Mtaje unayemmudu yasije kuwa mengine