Tabia za wanyama zenye kuua Taasisi

Song of Solomon

JF-Expert Member
Aug 5, 2021
2,733
5,490
Bata:
Kujivutavuta, hufanya kazi polepole na kuendekeza uvivu mpaka mambo ya kikundi yanazorota au kufa kabisa.

Bundi:
Mtu anayefikiria ana akili kuliko wote kwenye kikundi- hutumia lugha ngumu na haeleweki

Chura:
Hurudiarudia kitu kile kile mpaka anawachosha wenzake kundini

Kenge:
Hatumii akili sawasawa, ujinga mwingi na hufanya maamuzi ya ovyo yenye kuwakatisha tamaa wenzake

Kiboko:
Hulala lala na kupiga miayo. Wakati wenzake wanachacharika yeye ni kukaa tu, hafanyi kazi.

Kifaru:
Yeye hushambulia wengine kwenye kikundi bila sababu

Kinyonga:
Kigeugeu, akiwa kwa mwanakikundi huyu anasema hili na akiwa kwa mwingine anasema tofauti

Kobe:
Hujitoa akiudhiwa, hana uvumilivu kwenye changamoto zinazokabili kikundi.

Kuku:
Kuvuruga palipotengenezwa, huenda tofauti na maono ya kikundi kwa kujali na kuzingatia mambo ya muda mfupi tu.

Mbuni:
Huficha kichwa na hufikiri hakuna shida kwenye kikundi hata kama zipo shida nyingi

Nyati:
Kujihami tu kwa sababu ya woga. Hakosolewi, ukimgusa tu anaazisha vita vya maneno au kupigana

Nyoka:
Anajificha huku akiuma bila kusema. Mchonganishi

Nyumbu:
Mwoga na hatumii akili kabisa.

Paka:
Yeye hutaka ahurumiwe tu na wenzake, hana mchango wowote kwenye kikundi.

Panya:
Hachangii chochote yeye hujificha tu na kujitokeza wakati wa neema.

Popo:
Hana msimamo. Kwa wanaokubali hoja yupo na kwa wanaopinga hoja yupo! Haeleweki.

Punda:
Mgumu kubadilika. Hata umuelimishe vipi, misimamo yake ni ile ile ya zamani.

Samaki:
Hachangii hoja, kazi tu, kukwepa na kutoweka na huonekana hali ikitulia na kuwa shwari.

Simba:
Hupigana kama mawazo yake hakubaliwi na wanakikundi wengine.

Sungura:
Hukimbia kama kuna dalili za hatari na kwenda kinyume na makubaliano ya kikundi

Tausi:
Yeye huringa kwa mambo mazuri aliyonayo ambayo wanakikundi wenzake hawana.

Tembo:
Hufunga njia bila sababu watu wasipite. Huzuia mawazo na maamuzi ya kikundi yasifanikiwe bila sababu.

Tumbili:
Mizaha mizaha tu wakati wote hayuko makini hata kwa mambo muhimu ya kikundi.

KILA MDAU AJITAFAKARI INAWEZEKANA KUNA MAHALI AMEGUSWA.
 
Where my dogs at?
Bata:
Kujivutavuta, hufanya kazi polepole na kuendekeza uvivu mpaka mambo ya kikundi yanazorota au kufa kabisa.

Bundi:
Mtu anayefikiria ana akili kuliko wote kwenye kikundi- hutumia lugha ngumu na haeleweki

Chura:
Hurudiarudia kitu kile kile mpaka anawachosha wenzake kundini

Kenge:
Hatumii akili sawasawa, ujinga mwingi na hufanya maamuzi ya ovyo yenye kuwakatisha tamaa wenzake

Kiboko:
Hulala lala na kupiga miayo. Wakati wenzake wanachacharika yeye ni kukaa tu, hafanyi kazi.

Kifaru:
Yeye hushambulia wengine kwenye kikundi bila sababu

Kinyonga:
Kigeugeu, akiwa kwa mwanakikundi huyu anasema hili na akiwa kwa mwingine anasema tofauti

Kobe:
Hujitoa akiudhiwa, hana uvumilivu kwenye changamoto zinazokabili kikundi.

Kuku:
Kuvuruga palipotengenezwa, huenda tofauti na maono ya kikundi kwa kujali na kuzingatia mambo ya muda mfupi tu.

Mbuni:
Huficha kichwa na hufikiri hakuna shida kwenye kikundi hata kama zipo shida nyingi

Nyati:
Kujihami tu kwa sababu ya woga. Hakosolewi, ukimgusa tu anaazisha vita vya maneno au kupigana

Nyoka:
Anajificha huku akiuma bila kusema. Mchonganishi

Nyumbu:
Mwoga na hatumii akili kabisa.

Paka:
Yeye hutaka ahurumiwe tu na wenzake, hana mchango wowote kwenye kikundi.

Panya:
Hachangii chochote yeye hujificha tu na kujitokeza wakati wa neema.

Popo:
Hana msimamo. Kwa wanaokubali hoja yupo na kwa wanaopinga hoja yupo! Haeleweki.

Punda:
Mgumu kubadilika. Hata umuelimishe vipi, misimamo yake ni ile ile ya zamani.

Samaki:
Hachangii hoja, kazi tu, kukwepa na kutoweka na huonekana hali ikitulia na kuwa shwari.

Simba:
Hupigana kama mawazo yake hakubaliwi na wanakikundi wengine.

Sungura:
Hukimbia kama kuna dalili za hatari na kwenda kinyume na makubaliano ya kikundi

Tausi:
Yeye huringa kwa mambo mazuri aliyonayo ambayo wanakikundi wenzake hawana.

Tembo:
Hufunga njia bila sababu watu wasipite. Huzuia mawazo na maamuzi ya kikundi yasifanikiwe bila sababu.

Tumbili:
Mizaha mizaha tu wakati wote hayuko makini hata kwa mambo muhimu ya kikundi.

KILA MDAU AJITAFAKARI INAWEZEKANA KUNA MAHALI AMEGUSWA.
 
Bata:
Kujivutavuta, hufanya kazi polepole na kuendekeza uvivu mpaka mambo ya kikundi yanazorota au kufa kabisa.

Bundi:
Mtu anayefikiria ana akili kuliko wote kwenye kikundi- hutumia lugha ngumu na haeleweki

Chura:
Hurudiarudia kitu kile kile mpaka anawachosha wenzake kundini

Kenge:
Hatumii akili sawasawa, ujinga mwingi na hufanya maamuzi ya ovyo yenye kuwakatisha tamaa wenzake

Kiboko:
Hulala lala na kupiga miayo. Wakati wenzake wanachacharika yeye ni kukaa tu, hafanyi kazi.

Kifaru:
Yeye hushambulia wengine kwenye kikundi bila sababu

Kinyonga:
Kigeugeu, akiwa kwa mwanakikundi huyu anasema hili na akiwa kwa mwingine anasema tofauti

Kobe:
Hujitoa akiudhiwa, hana uvumilivu kwenye changamoto zinazokabili kikundi.

Kuku:
Kuvuruga palipotengenezwa, huenda tofauti na maono ya kikundi kwa kujali na kuzingatia mambo ya muda mfupi tu.

Mbuni:
Huficha kichwa na hufikiri hakuna shida kwenye kikundi hata kama zipo shida nyingi

Nyati:
Kujihami tu kwa sababu ya woga. Hakosolewi, ukimgusa tu anaazisha vita vya maneno au kupigana

Nyoka:
Anajificha huku akiuma bila kusema. Mchonganishi

Nyumbu:
Mwoga na hatumii akili kabisa.

Paka:
Yeye hutaka ahurumiwe tu na wenzake, hana mchango wowote kwenye kikundi.

Panya:
Hachangii chochote yeye hujificha tu na kujitokeza wakati wa neema.

Popo:
Hana msimamo. Kwa wanaokubali hoja yupo na kwa wanaopinga hoja yupo! Haeleweki.

Punda:
Mgumu kubadilika. Hata umuelimishe vipi, misimamo yake ni ile ile ya zamani.

Samaki:
Hachangii hoja, kazi tu, kukwepa na kutoweka na huonekana hali ikitulia na kuwa shwari.

Simba:
Hupigana kama mawazo yake hakubaliwi na wanakikundi wengine.

Sungura:
Hukimbia kama kuna dalili za hatari na kwenda kinyume na makubaliano ya kikundi

Tausi:
Yeye huringa kwa mambo mazuri aliyonayo ambayo wanakikundi wenzake hawana.

Tembo:
Hufunga njia bila sababu watu wasipite. Huzuia mawazo na maamuzi ya kikundi yasifanikiwe bila sababu.

Tumbili:
Mizaha mizaha tu wakati wote hayuko makini hata kwa mambo muhimu ya kikundi.

KILA MDAU AJITAFAKARI INAWEZEKANA KUNA MAHALI AMEGUSWA.
Uzi bora
 
Bata:
Kujivutavuta, hufanya kazi polepole na kuendekeza uvivu mpaka mambo ya kikundi yanazorota au kufa kabisa.

Bundi:
Mtu anayefikiria ana akili kuliko wote kwenye kikundi- hutumia lugha ngumu na haeleweki

Chura:
Hurudiarudia kitu kile kile mpaka anawachosha wenzake kundini

Kenge:
Hatumii akili sawasawa, ujinga mwingi na hufanya maamuzi ya ovyo yenye kuwakatisha tamaa wenzake

Kiboko:
Hulala lala na kupiga miayo. Wakati wenzake wanachacharika yeye ni kukaa tu, hafanyi kazi.

Kifaru:
Yeye hushambulia wengine kwenye kikundi bila sababu

Kinyonga:
Kigeugeu, akiwa kwa mwanakikundi huyu anasema hili na akiwa kwa mwingine anasema tofauti

Kobe:
Hujitoa akiudhiwa, hana uvumilivu kwenye changamoto zinazokabili kikundi.

Kuku:
Kuvuruga palipotengenezwa, huenda tofauti na maono ya kikundi kwa kujali na kuzingatia mambo ya muda mfupi tu.

Mbuni:
Huficha kichwa na hufikiri hakuna shida kwenye kikundi hata kama zipo shida nyingi

Nyati:
Kujihami tu kwa sababu ya woga. Hakosolewi, ukimgusa tu anaazisha vita vya maneno au kupigana

Nyoka:
Anajificha huku akiuma bila kusema. Mchonganishi

Nyumbu:
Mwoga na hatumii akili kabisa.

Paka:
Yeye hutaka ahurumiwe tu na wenzake, hana mchango wowote kwenye kikundi.

Panya:
Hachangii chochote yeye hujificha tu na kujitokeza wakati wa neema.

Popo:
Hana msimamo. Kwa wanaokubali hoja yupo na kwa wanaopinga hoja yupo! Haeleweki.

Punda:
Mgumu kubadilika. Hata umuelimishe vipi, misimamo yake ni ile ile ya zamani.

Samaki:
Hachangii hoja, kazi tu, kukwepa na kutoweka na huonekana hali ikitulia na kuwa shwari.

Simba:
Hupigana kama mawazo yake hakubaliwi na wanakikundi wengine.

Sungura:
Hukimbia kama kuna dalili za hatari na kwenda kinyume na makubaliano ya kikundi

Tausi:
Yeye huringa kwa mambo mazuri aliyonayo ambayo wanakikundi wenzake hawana.

Tembo:
Hufunga njia bila sababu watu wasipite. Huzuia mawazo na maamuzi ya kikundi yasifanikiwe bila sababu.

Tumbili:
Mizaha mizaha tu wakati wote hayuko makini hata kwa mambo muhimu ya kikundi.

KILA MDAU AJITAFAKARI INAWEZEKANA KUNA MAHALI AMEGUSWA.
Na tabia ya wizi, rushwa, uongo, hizi ni mahsusi Kwa binadamu wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom