Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 51
- 141
MUUNDO WA KATIBA YA KIKUNDI
Na Comrade Ally Maftah & Mwl Rashida Kayera
1. JINA LA KIKUNDI
2. ANUANI YA KIKUNDI
a. Iwepo anuani ya Posta na ya kimazingira mfano; ipo mtaa wa … karibu na …
b. Kuwe na namba ya simu
3. MADHUMUNI YAKIKUNDI AU MALENGO YA KIKUNDI NA KAZI ZA KIKUNDI
4. UANACHAMA WA KIKUNDI
a. Aina za uanachama
5. MASHARTI YA KUJIUNGA KWENYE KIKUNDI
6. HAKI ZA MWANACHAMA
7. WAJIBU WA MWANACHAMA
8. UKOMO WA MTU KUWA MWANACHAMA WA KIKUNDI
9. UONGOZI WA KIKUNDI
a. Viongozi muhimu ni Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina
b. Wanaweza kuweka na wasaidizi wao au wakaweka viongozi wengine zaidi
wapendavyo wao
c. Mweka hazina huwa hana msaidizi
10.UCHAGUZI WA VIONGOZI
a. Utafanyika baada ya muda gani
11.UKOMO WA MTU KUWA KIONGOZI
a. Sababu zinazoweza kusababisha mtu kukoma kuongoza kikundi
12.MIKUTANO NA VIKAO VYA KIKUNDI
13.ADHABU MBALI MBALI NDANI YA KIKUNDI
14.VYANZO VYA MAPATO VYA KIKUNDI
a. Mfano mapato ya kikundi yatatokana na kuuza bidhaa, ada za wanachama,
wafadhili, n.k
15.MABADILIKO YA KATIBA YA KIKUNDI
a. Katiba ielekeze uwezekeno wa kufanya mabadiliko kama kutakuwa na uhitaji
na akidi inayotosha kufanya mabadiliko hayo. Akidi inapaswa kuwa zaidi ya
nusu ya wanachama wote.
16.KUVUNJIKA KWA KIKUNDI
a. Katiba ieleze sababu zinazoweza kusababisha kikundi kuvunjika. Pia kieleze akidi
inayoweza kufanya maamuzi ya kuvunja kikundi
17.MGAWANYO WA RASILIMALI ZA KIKUNDI ENDAPO KIKUNDI KITAVUNJIKA
a. Katiba ieleze utaratibu utakaotumika kugawana rasilimali za kikundi iwapo
kikundi kitavunjika
18.MAJINA YA WANACHAMA WOTE WA KIKUNDI NA SAINI ZAO
N. B. Huu ni mwongozo tu lakini kikundi kinaweza kuongeza mambo mengine
yatakayoonekana kuwa ya msingi kutegemeana na mahitaji yake.
KWA MAHITAJI YA KATIBA ZA VIKUNDI
WASILIANA NASI
Comrade Ally Maftah
BA PROJECT MANAGEMENT - UDOM
0762212623
Mwl Rashida Kayera
BE in Accountance & Commerce - MZUMBE UNIVERSITY
0712163738
Na Comrade Ally Maftah & Mwl Rashida Kayera
1. JINA LA KIKUNDI
2. ANUANI YA KIKUNDI
a. Iwepo anuani ya Posta na ya kimazingira mfano; ipo mtaa wa … karibu na …
b. Kuwe na namba ya simu
3. MADHUMUNI YAKIKUNDI AU MALENGO YA KIKUNDI NA KAZI ZA KIKUNDI
4. UANACHAMA WA KIKUNDI
a. Aina za uanachama
5. MASHARTI YA KUJIUNGA KWENYE KIKUNDI
6. HAKI ZA MWANACHAMA
7. WAJIBU WA MWANACHAMA
8. UKOMO WA MTU KUWA MWANACHAMA WA KIKUNDI
9. UONGOZI WA KIKUNDI
a. Viongozi muhimu ni Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina
b. Wanaweza kuweka na wasaidizi wao au wakaweka viongozi wengine zaidi
wapendavyo wao
c. Mweka hazina huwa hana msaidizi
10.UCHAGUZI WA VIONGOZI
a. Utafanyika baada ya muda gani
11.UKOMO WA MTU KUWA KIONGOZI
a. Sababu zinazoweza kusababisha mtu kukoma kuongoza kikundi
12.MIKUTANO NA VIKAO VYA KIKUNDI
13.ADHABU MBALI MBALI NDANI YA KIKUNDI
14.VYANZO VYA MAPATO VYA KIKUNDI
a. Mfano mapato ya kikundi yatatokana na kuuza bidhaa, ada za wanachama,
wafadhili, n.k
15.MABADILIKO YA KATIBA YA KIKUNDI
a. Katiba ielekeze uwezekeno wa kufanya mabadiliko kama kutakuwa na uhitaji
na akidi inayotosha kufanya mabadiliko hayo. Akidi inapaswa kuwa zaidi ya
nusu ya wanachama wote.
16.KUVUNJIKA KWA KIKUNDI
a. Katiba ieleze sababu zinazoweza kusababisha kikundi kuvunjika. Pia kieleze akidi
inayoweza kufanya maamuzi ya kuvunja kikundi
17.MGAWANYO WA RASILIMALI ZA KIKUNDI ENDAPO KIKUNDI KITAVUNJIKA
a. Katiba ieleze utaratibu utakaotumika kugawana rasilimali za kikundi iwapo
kikundi kitavunjika
18.MAJINA YA WANACHAMA WOTE WA KIKUNDI NA SAINI ZAO
N. B. Huu ni mwongozo tu lakini kikundi kinaweza kuongeza mambo mengine
yatakayoonekana kuwa ya msingi kutegemeana na mahitaji yake.
KWA MAHITAJI YA KATIBA ZA VIKUNDI
WASILIANA NASI
Comrade Ally Maftah
BA PROJECT MANAGEMENT - UDOM
0762212623
Mwl Rashida Kayera
BE in Accountance & Commerce - MZUMBE UNIVERSITY
0712163738