Tabia za Kitanzania zinazonikera...

Nakerwa na hali ya mtu kupenda kupewa shikamoo. Unakuta mtu almost mnalingana alafu anakumbia 'hujambo'?
Ukiambiwa hujambo sio lazima utoe shikamoo. Kusini mtoto mdogo anaweza kukuambia hujambo na unajua wanaitikiaje......"eeeh".
 

Kuna mtu kapewa za mbavu hapa hahahaaah!!
 
Kutokuwa punctual nayo mkuu,mtu mnaweza panga apppointment saa saba utakuta anatokea saa 10 bila hata wasiwasi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Acha hizo kuna hii pia.
Unasafiri na mtu kwenye basi la kwenda mkoa hadi mkoa (dar to mbeya, mfano) mara kaagiza machungwa, mara ndizi, mara mahindi ya kuchemshwa, mara karanga mbichi, mua,na anamalizia na mayai ya kuchemsha. baada ya muda watu hawakai hapo! full tantalizing smell!
 
Nyingine hii, mko kwenye usafiri wa puplic basi anatokea mtu anaweka loud speaker kwenye simu yake, simu yenyewe mchina na music hata haujulikani ni dogoli ama segere.... Wakati huo ndo muwe mnarudi home... mmechoka akili, mwili na damu. Huwa natamani nimwambie azime kha!!!!!
 
6. people who can't keep time.

mf. anakualika sherehe/miadi saa 3pm lakini mnaanza 6pm. its fking annoying bora aseme kwamba tutachelewa kuliko kunipotezea 2-3hrs doing nothing

Yaan acha kabisa, iliwahi kutokea harusi moja hivi. Maharusi waliingia ukumbini 2200hrs imagine tulitoka saa ngapi hapo!!!!???
 

Hiyo kali,yaani kuna watu wanatafuna njia nzima kama mchwa
 
Yaan acha kabisa, iliwahi kutokea harusi moja hivi. Maharusi waliingia ukumbini 2200hrs imagine tulitoka saa ngapi hapo!!!!???
hapo inabidi wanisamehe tuu!! ntaacha zawadi kwa ndugu wa karibu na kuondoka, unless the next day ni holiday.
 
Wanao tongoza wanaume ovyo

Hii tabia imeshika kasi sasa hivi.
 

Hahaha ushuzi wake mbu na nzi lazima wasafoketi.
 

yeee hii tabia haifai kuna mama mmoja na mwanaye walitusumbuaa..safari yenyewe ndefu toka Dar to Mbeya hii ni kero kwa kweli
 
hizi culture sijui traditions balaa
sisi huku tuliko mtu anapenga makamasi hapo hapo mezani mnakula, halafu wenyeji wao hiyo ni kawaida, so tumejilazimisha kuzoelea japo havizoeleki, kha! manake kuna wakati ni yale mazito ya njano!
 
wanaume wanaoita wadada ovyo barabarani wakati mfukoni hata sh mia hana....
 
very true............tena kuta za vichochoroni zilishabadilika rangi.......hizo zingine ndo usiseme,tunahitaji maombezi.
 

Teh teh teh umenikumbusha mbali,nlitimliwa na wafungwa kisa kwenda haja pasipo ustaarabu,mie mmekoma.
 
hapo inabidi wanisamehe tuu!! ntaacha zawadi kwa ndugu wa karibu na kuondoka, unless the next day ni holiday.

Even if.... yan mtu utoke home saa 2 afu urudi saa 8 kisa harusi tena ya rafiki wa kuvuta na kamba. Aisee siku hiyo nilikereka kwel....
 
Hapo naona umenilenga mimi bhana charminglady
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…