Wamfukuze kwa kosa gani alilofanya? Kwani Evra sio black ni mzungu?? Kwa hy Terry nae akikutwa na kosa afukuzwe England?
Mwenzako anakipaji hata wamfukuze kesho hawezi kukosa timu ya kuchezea.
Af huyu Evra ndie aliyeikana Senegal na aka promise hawezi kurudi tena..
Tukiacha kasoro za evra huyu suarez ni hafai kabisa mpaka club yako wamekuja kujua kosa walilofanya kumunga mkono kwa kuomba msamaha wewe unaye mtetea unazo kweli timamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.