SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Makubwa!Ukiona mwanamke anang'ang'ania kuhongwa eti ni haki yake huyo hana tofauti na wale wa kona bar sema yeye kijiwe chake cha uchangu ni tofauti labda ofisini kwake au Savannah au quality plaza maana mwanamke mwenye staha hawezi kumpenda mtu sababu ya pesa pesa huja baadae sana hata kama anaiona ila sio inayomvuta. Tatizo wengi wao full kupenda vinavyoelea wakati vilipochumwa hujui mwishowe unaliwa 0712 unaanza kushuzi hovyo wapenda vya dezo eti ukinihonga Harrier nitakupa. Kwani shida