Tabia za akina dada zinazonikera!!

Hahahahah wenye hela za mawazo utawajua 2!
Halafu wengine mimaziwa imelala full kuipiga Tanganyika jeki. Mkorogo umedunda vidole kama mchimba kaburi.

Halafu first date then anaanza kuleta invoices bila aibu, si hata usubiri uliwe kidogo.
 
Halafu wengine mimaziwa imelala full kuipiga Tanganyika jeki. Mkorogo umedunda vidole kama mchimba kaburi.

Halafu first date then anaanza kuleta invoices bila aibu, si hata usubiri uliwe kidogo.

Wana haki ya kujipodoa kwa hiyo mie sioni tatizo na jeki (as long as inapigwa ndani kabla ya kutoka nje)

Hiyo habari ya kutangaziwa shida siku ya kwanza mtu ukose hata hamu inaitwa "hashuo".
 
umeua mkuu. Mwanaume kuhonga ni wajibu lakini mwanamke nae akianza kuendekeza dhiki za kijinga sijui ninunulie voucher ya simu oooh naomba hela ya daladala that's a big turn off

Si ndiyo hapo? First date hata hela ya Bajaj jana. Kanakuja kinanukia perfume ya smart collection baada ya nusu saa imekwisha kwapa linaanza kuchacha. Tripu ya toileti kila saa maana kiperfume kinakatika.

Maongezi yake ni mara kuna show kali ya diamond mara ooh mie hupapenda Savannah, to hell unamegwa tena kwenye gari then unatoswa. Bloodymengelesi mkubwa na kikwapa chako.
 
Code:
7. [COLOR=#ff0000]Harufu ya mwili hasa kwapani na maeneo nyeti[/COLOR]
8. [COLOR=#ff0000]Harufu ya mdomo[/COLOR]

Du Mie sijawahi kutana na wa design hizo,ila kwa hapo umewaonea bwana ila hizo nyingine zote 100% ,lkn hapo nope mademu ndio wasafi sana labda naokutana nao mimi,au unakutana na ma-house girls aka Mercury(Hg)
 
Hahahahah wenye hela za mawazo utawajua 2!

Kuna wa kuwahonga bana ciello ila kuna kimtu kisekretari umekimaindi ukidandie japo ajiongezee kipato ye ndo anafanya meadows? Hata Mengi haongi kibwegebwege namna hiyo.

Na kipafyumu chake cha smart collection.
 
Ndugu yangu mengine hata sie wanawake wenyewe hatuyapendi kama Lipstic na wigi ila ndo fassion sasa tufanyaje ili tusionekane washamba! Twajipaka tu!

Wazungu wanahonga sanaaa, we kubali kataa, wazungu bonge ya dili ukimfuma wa maana!

Wanafunzi lazima niwadharau manake wanajionaaa kama hizo akili zao zinaliwa! Kufaulu kidogo tu Jitu lishajiona kama Isac Newton au Faraday au hata Lord Keynes na Irving Fisher!!! Msheeeeeeeew! Mi napenda kuwaremind the awfal truth they are just piece of shit in real world! Hawana lolote! Kazi kusaga lami tu!

Kama nachokula ni Classic na wewe ni mshamba lazima nikutoe ushamba kwa kukuforce kula classic cuisines! Bila bakora mnaenda nyie vidume wa siku hizi! Thubutuuu yenu! Watu tuko sehemu za maana unaagiza Chips Kuku!!!!! Kula kuku na umma kwenyewe hujui! Ndo inabidi kuepusha aibu nikuagizie fillet manake zinalika kwa uma kirahisi!

Kuna unene na Curves! Unene wa ovyo ovyo kama kiroba pia mimi siuungi mkono, ila curves ndo mpango mzima!

1st time lazima nilete pozi na makuz coz watu wengine shobo zimewajaa, ukijifanya kind na charming unaweza kufungiwa vioo au usijibiwe kabisaa ukaonekana unajipendekeza! Dawa ni kula cobis, mtu akikuanza kiungwana ndo narudisha uungwana! Mjini hapa Silaha Pesa, bastola zigo tu!

Mapaja yangu nikiacha wazi haikuhusuu, Coz najua lazima uyacheki yalivyonona ndo maana nakuorishia! Bila kuoneshwa sample ya zigo mnaingiaga line kiurahisi! Thubutu yenu! Dawa ndo hiyo kuwapa trailer kidogo!

Kulewa kama pesa huna ofa ulinipa ya nini? Siku nyingine chukua wanafunzi wanaokunywa juice! Wengine pombe stimulator tu wala sio kilevi!

Sema foundation cheap stuff ndo zinaboa, Ila kitu ya Marry Kay let me not mention the price ukipaka lazima uonekane wa kino, na hujaja mujini na basi!
Namwachia Nyani Ngabu ata-respond
 
Wana haki ya kujipodoa kwa hiyo mie sioni tatizo na jeki (as long as inapigwa ndani kabla ya kutoka nje)

Hiyo habari ya kutangaziwa shida siku ya kwanza mtu ukose hata hamu inaitwa "hashuo".

Kupeleka invoice siku ya kwanza wala sio Hashuo ni kutaka kujua we are on the same page plus we are talking the same language!!!!!!! Mmabo jitu umekaa nalo miezi sita ndo unstuka bahili siyapendagi kabisaaa! Miezi yote hiyo unajiona umepata Bonge la Bwana kumbe una mfano wa bwana tu! First things first, always!
 
Code:
7. [COLOR=#ff0000]Harufu ya mwili hasa kwapani na maeneo nyeti[/COLOR]
8. [COLOR=#ff0000]Harufu ya mdomo[/COLOR]

Du Mie sijawahi kutana na wa design hizo,ila kwa hapo umewaonea bwana ila hizo nyingine zote 100% ,lkn hapo nope mademu ndio wasafi sana labda naokutana nao mimi,au unakutana na ma-house girls aka Mercury(Hg)

Umeona kutoka na Mabeki tatu basi ndo kelele nyingiiii! Angepata a lady kidogo angemfunza kuongea mambo ya busara mtoto wa kiume!
 
Hahaaaaaaaaaaaaa! Nyani Ngabu ni Itallect huwezi kumuona kwenye mada za mavumbini kama hizi! Ingekuwa za wall street ungemuona!

Nini hiyo maana yake?

By the way, wachuchu ambao wanapenda kunywa kahawa wana meno ya njano. That's nasty. Halafu kuna wale wanapenda penda kula viepe, kiti moto, michemsho, na kadhalika halafu hawajui kujiswafi kinywa.

Hawajui ku-floss na hawajahi hata siku moja kutumia dental floss. Hawajui hata tongue scrapper ni nini. Hata routine teeth cleaning hawajawahi kuisikia.

That's just nasty. Super oral hygiene is sexy.
 
Kupeleka invoice siku ya kwanza wala sio Hashuo ni kutaka kujua we are on the same page plus we are talking the same language!!!!!!! Mmabo jitu umekaa nalo miezi sita ndo unstuka bahili siyapendagi kabisaaa! Miezi yote hiyo unajiona umepata Bonge la Bwana kumbe una mfano wa bwana tu! First things first, always!

Pleeeease,

If we are on the same page why should you invoice me then?

I mean my debonair borderline modern day chivalrous chauvinist would not let you pay for the dinner and shyt. As liberal socially as I am I am still African and I know most of you African women equate love with being taken care of 9 or is that just njaa due to the prevailing socio-economic and gender biased power structure?), I get that, so I won't sweat the small stuff, as wrong and self debasing to women as it is, I have to understand some things take time.

I am talking ada ya chuo and shyt, will you buy me a laptop and shyt, or nipatie hela ninunue gari wenzangu wananringia and shyt.

Bytch I just met you, we are not even getting to know one another and you are invoicing me already?

Hata kama nilikuwa na mpango wa kukununulia that 2013 Range Rover Evoque naghairi, nakuona unajidhalilisha.
 
Mwanamke umbea kusutwa sunna....umbea kuacha ni 'ngumu' kama kumsukuma mlevi....upo!???? Wengine umbea ndo unawaweka mjini...
 
kutamani vitu vya bei ya juu kuliko kipato " mwingine juzi kanunua blackberry baada ya wiki eti hizi blackberry sizipendi natafuta iphone 4s" wakati kipato chake tunaokijua ni ch kawaida sana tu kisa kamuona shoga yake anaiphone 4.
ukimuuliza utaitumiaje anasema ' mimi najisikia tu kuwa nayo'

be real and live your life. nawasilisha.
 
Back
Top Bottom