Tabia za akina dada zinazonikera!!

Tabia za akina dada zinazonikera!!

kutamani vitu vya bei ya juu kuliko kipato " mwingine juzi kanunua blackberry baada ya wiki eti hizi blackberry sizipendi natafuta iphone 4s" wakati kipato chake tunaokijua ni ch kawaida sana tu kisa kamuona shoga yake anaiphone 4.
ukimuuliza utaitumiaje anasema ' mimi najisikia tu kuwa nayo'

be real and live your life. nawasilisha.

Wanawakamata kichizi hapo, mnafanywa "mateja" wakati Apple wanaingiza mabilioni.

Worse still mtu anajishaua kununua kila kinachotoka hata kuitumia hajui.
 
Nini hiyo maana yake?

By the way, wachuchu ambao wanapenda kunywa kahawa wana meno ya njano. That's nasty. Halafu kuna wale wanapenda penda kula viepe, kiti moto, michemsho, na kadhalika halafu hawajui kujiswafi kinywa.

Hawajui ku-floss na hawajahi hata siku moja kutumia dental floss. Hawajui hata tongue scrapper ni nini. Hata routine teeth cleaning hawajawahi kuisikia.

That's just nasty. Super oral hygiene is sexy.

Siamini kama ni wewe ndo umandika hapa!!!!!!!!!!!! Khaaaaaaa! I take back my words!

Hao wasiojua kufloss wa wapi coz hata kwetu uswazi tunatumia Uzi wa 150 tena unafanya kazi nzuri kuliko hata hiyo flossing, na meno ya njano dawa yake mkaa mbona yanawaka!

Plus kuwa na kabima cha dental msijishaue sanaaaa! Wengine hawana ndo maana kwenda pale Zamu dental clinic kwa French dr, weekly au monthly kufanya check up na general clining ya kukwanguliwa utoko kwenye fizi na mambo ya electric tooth brush kwao ni mtihani!

Ila kama we mwanaume hujui hivo vitu mie mdada vinipressure vya nini? Nisingekuwa na Diamond Insurance Package kwa hisani ya Ofisi yetu sugu hizo Dental za ukwee ningesikiaga tu! Cut people some slack not all can afford!

Najiuliza kabla hjamkiss demu mpya lazima akupe dental record yake kwanza! LOL!
 
Pleeeease,

If we are on the same page why should you invoice me then?

I mean my debonair borderline modern day chivalrous chauvinist would not let you pay for the dinner and shyt. As liberal socially as I am I am still African and I know most of you African women equate love with being taken care of 9 or is that just njaa due to the prevailing socio-economic and gender biased power structure?), I get that, so I won't sweat the small stuff, as wrong and self debasing to women as it is, I have to understand some things take time.

I am talking ada ya chuo and shyt, will you buy me a laptop and shyt, or nipatie hela ninunue gari wenzangu wananringia and shyt.

Bytch I just met you, we are not even getting to know one another and you are invoicing me already?

Hata kama nilikuwa na mpango wa kukununulia that 2013 Range Rover Evoque naghairi, nakuona unajidhalilisha.

Acha woga mkulukulu!!!!!!!!! Kama you cant afford pack n go baby! I aint lowering ma standards cause you cant make shit happen!

If you cant get me what i want, then you aint good enough for me, Ill get another man who will get me that n more! Dnt forget to close the door behind you when you leave!
 
kutamani vitu vya bei ya juu kuliko kipato " mwingine juzi kanunua blackberry baada ya wiki eti hizi blackberry sizipendi natafuta iphone 4s" wakati kipato chake tunaokijua ni ch kawaida sana tu kisa kamuona shoga yake anaiphone 4.
ukimuuliza utaitumiaje anasema ' mimi najisikia tu kuwa nayo'

be real and live your life. nawasilisha.

Hakuna cha be real wala nini, lazima kwenda na wakati! If BB is outdated a sister needs the I technology why not? If i cant afford it, ill think who should i get who can get me the expensive shit!!!!!!!

This life is too short kusubiri mambo yatokee yenyewe! You have to make the shit happen!
 
Mi napita kimyakimya
LARA1 atawamudu wote humu sina shaka kwa hilo
 
Last edited by a moderator:
Demu anatokewa na mtu anajishaua huku anawaambia friends zake "Mimi kwa yule? Over my dead body". Baadaye anamkubali.
 
Ndugu yangu mengine hata sie wanawake wenyewe hatuyapendi kama Lipstic na wigi ila ndo fassion sasa tufanyaje ili tusionekane washamba! Twajipaka tu!

Wazungu wanahonga sanaaa, we kubali kataa, wazungu bonge ya dili ukimfuma wa maana!

Wanafunzi lazima niwadharau manake wanajionaaa kama hizo akili zao zinaliwa! Kufaulu kidogo tu Jitu lishajiona kama Isac Newton au Faraday au hata Lord Keynes na Irving Fisher!!! Msheeeeeeeew! Mi napenda kuwaremind the awfal truth they are just piece of shit in real world! Hawana lolote! Kazi kusaga lami tu!

Kama nachokula ni Classic na wewe ni mshamba lazima nikutoe ushamba kwa kukuforce kula classic cuisines! Bila bakora mnaenda nyie vidume wa siku hizi! Thubutuuu yenu! Watu tuko sehemu za maana unaagiza Chips Kuku!!!!! Kula kuku na umma kwenyewe hujui! Ndo inabidi kuepusha aibu nikuagizie fillet manake zinalika kwa uma kirahisi!

Kuna unene na Curves! Unene wa ovyo ovyo kama kiroba pia mimi siuungi mkono, ila curves ndo mpango mzima!

1st time lazima nilete pozi na makuz coz watu wengine shobo zimewajaa, ukijifanya kind na charming unaweza kufungiwa vioo au usijibiwe kabisaa ukaonekana unajipendekeza! Dawa ni kula cobis, mtu akikuanza kiungwana ndo narudisha uungwana! Mjini hapa Silaha Pesa, bastola zigo tu!

Mapaja yangu nikiacha wazi haikuhusuu, Coz najua lazima uyacheki yalivyonona ndo maana nakuorishia! Bila kuoneshwa sample ya zigo mnaingiaga line kiurahisi! Thubutu yenu! Dawa ndo hiyo kuwapa trailer kidogo!

Kulewa kama pesa huna ofa ulinipa ya nini? Siku nyingine chukua wanafunzi wanaokunywa juice! Wengine pombe stimulator tu wala sio kilevi!

Sema foundation cheap stuff ndo zinaboa, Ila kitu ya Marry Kay let me not mention the price ukipaka lazima uonekane wa kino, na hujaja mujini na basi!
Wazungu wa wapi wanahonga sana? Au wazungu wa Bongo? Akikupa dola $50 unaona nyingi kwa sababu unai-convert kwa shilingi.
Waafrika ndio wahongaji wakubwa, sema bahati mbaya wengi hawana hela, wenye hela wanahonga haswa. Wazungu sidhani.
 
Nini hiyo maana yake?

By the way, wachuchu ambao wanapenda kunywa kahawa wana meno ya njano. That's nasty. Halafu kuna wale wanapenda penda kula viepe, kiti moto, michemsho, na kadhalika halafu hawajui kujiswafi kinywa.

Hawajui ku-floss na hawajahi hata siku moja kutumia dental floss. Hawajui hata tongue scrapper ni nini. Hata routine teeth cleaning hawajawahi kuisikia.

That's just nasty. Super oral hygiene is sexy.

Una IQ ya kufa mtu,nipo tayari kukupa dada yangu!
 
Wazungu wa wapi wanahonga sana? Au wazungu wa Bongo? Akikupa dola $50 unaona nyingi kwa sababu unai-convert kwa shilingi.
Waafrika ndio wahongaji wakubwa, sema bahati mbaya wengi hawana hela, wenye hela wanahonga haswa. Wazungu sidhani.

Weweeeeeee! Hapa Bongo wadada wanaoishi maisha nyota 5 ni kwa hisani kubwa ya wazungu! Tena ukimzalia umemaliza kila kitu!

Watu wanajengewa mi residence ya ukakika sio vijumba, watu wananunuliwa apartments huko masaki, acha bata wanaloteketeza!!!!!!! Watu wanazunguka dunia kula bata tu, mara leo wako huku kesho kule, Dubai chooni tu, London chumbani, Paris barazani! Achia mbali Suala la Mikoko ya maana, kama hapa Dsm ukimtoa Delina na Jesica MSD wanaomiliki mikoko mikali 90% ni kwa hisani nzito ya wazungu!

Waafrika wenyewe residence na apparments! Bata la maana labda akupeleke bar mnywe bia! Akikutreat sanaa hapo Bagamoyo kamaliza!

Ila wazungu kuwafaidi inabidi uwe na kismati ati, lasivo itakuwa bora uchukue kaka zetu!
 
Acha woga mkulukulu!!!!!!!!! Kama you cant afford pack n go baby! I aint lowering ma standards cause you cant make shit happen!

If you cant get me what i want, then you aint good enough for me, Ill get another man who will get me that n more! Dnt forget to close the door behind you when you leave!

Tatizo unafanya biashara ya nipe nikupe, hata mtu akitaka kukupa zaidi ya unachotaka unamchafua.

Kuna demu mmoja hivyo hivyo, jamaa ana fwedha nzuri, alikuwa ana nia ya kufanya makubwa na demu, siku ya kwanza kukutana na demu demu kamtajia bei ya upapa.

Jamaa akaona mambo yenyewe kumbe biashara, akasepa.

Ndo habari unazoleta wewe hizo.

Tatizo class haifundishwi. Demu wa hashuo hata kumpiga intro summer vaca viwanja vya Hyannis Port na Martha's Vineyard inaweza kuwa kazi, macho juu ati.
 
umeua mkuu. Mwanaume kuhonga ni wajibu lakini mwanamke nae akianza kuendekeza dhiki za kijinga sijui ninunulie voucher ya simu oooh naomba hela ya daladala that's a big turn off
no love without money in dis world
 
Weweeeeeee! Hapa Bongo wadada wanaoishi maisha nyota 5 ni kwa hisani kubwa ya wazungu! Tena ukimzalia umemaliza kila kitu!

Watu wanajengewa mi residence ya ukakika sio vijumba, watu wananunuliwa apartments huko masaki, acha bata wanaloteketeza!!!!!!! Watu wanazunguka dunia kula bata tu, mara leo wako huku kesho kule, Dubai chooni tu, London chumbani, Paris barazani! Achia mbali Suala la Mikoko ya maana, kama hapa Dsm ukimtoa Delina na Jesica MSD wanaomiliki mikoko mikali 90% ni kwa hisani nzito ya wazungu!

Waafrika wenyewe residence na apparments! Bata la maana labda akupeleke bar mnywe bia! Akikutreat sanaa hapo Bagamoyo kamaliza!

Ila wazungu kuwafaidi inabidi uwe na kismati ati, lasivo itakuwa bora uchukue kaka zetu!

Nashukuru kuona kuwa umeshakiri na umeliona hilo hapo kwenye nyekundu. Manake mnavyoshobokea wazungu hata GYPSIES ama HILLBILLIES ni mtama kwa wadada wa kibongo
 
Acha woga mkulukulu!!!!!!!!! Kama you cant afford pack n go baby! I aint lowering ma standards cause you cant make shit happen!

If you cant get me what i want, then you aint good enough for me, Ill get another man who will get me that n more! Dnt forget to close the door behind you when you leave!
Gold digger!
 
Ndugu yangu mengine hata sie wanawake wenyewe hatuyapendi kama Lipstic na wigi ila ndo fassion sasa tufanyaje ili tusionekane washamba! Twajipaka tu!

Wazungu wanahonga sanaaa, we kubali kataa, wazungu bonge ya dili ukimfuma wa maana!

Wanafunzi lazima niwadharau manake wanajionaaa kama hizo akili zao zinaliwa! Kufaulu kidogo tu Jitu lishajiona kama Isac Newton au Faraday au hata Lord Keynes na Irving Fisher!!! Msheeeeeeeew! Mi napenda kuwaremind the awfal truth they are just piece of shit in real world! Hawana lolote! Kazi kusaga lami tu!

Kama nachokula ni Classic na wewe ni mshamba lazima nikutoe ushamba kwa kukuforce kula classic cuisines! Bila bakora mnaenda nyie vidume wa siku hizi! Thubutuuu yenu! Watu tuko sehemu za maana unaagiza Chips Kuku!!!!! Kula kuku na umma kwenyewe hujui! Ndo inabidi kuepusha aibu nikuagizie fillet manake zinalika kwa uma kirahisi!

Kuna unene na Curves! Unene wa ovyo ovyo kama kiroba pia mimi siuungi mkono, ila curves ndo mpango mzima!

1st time lazima nilete pozi na makuz coz watu wengine shobo zimewajaa, ukijifanya kind na charming unaweza kufungiwa vioo au usijibiwe kabisaa ukaonekana unajipendekeza! Dawa ni kula cobis, mtu akikuanza kiungwana ndo narudisha uungwana! Mjini hapa Silaha Pesa, bastola zigo tu!

Mapaja yangu nikiacha wazi haikuhusuu, Coz najua lazima uyacheki yalivyonona ndo maana nakuorishia! Bila kuoneshwa sample ya zigo mnaingiaga line kiurahisi! Thubutu yenu! Dawa ndo hiyo kuwapa trailer kidogo!

Kulewa kama pesa huna ofa ulinipa ya nini? Siku nyingine chukua wanafunzi wanaokunywa juice! Wengine pombe stimulator tu wala sio kilevi!

Sema foundation cheap stuff ndo zinaboa, Ila kitu ya Marry Kay let me not mention the price ukipaka lazima uonekane wa kino, na hujaja mujini na basi!
Lead_lipstick1.jpg
nicki-minaj-pink-wig.jpg
200px-Mercy_Olubunmi.jpg
fat_black_woman400x267.jpg
19868_236923798887_637798_a.jpg
summerface-leadblack-women-makeup-2.jpg
 
Hakuna cha be real wala nini, lazima kwenda na wakati! If BB is outdated a sister needs the I technology why not? If i cant afford it, ill think who should i get who can get me the expensive shit!!!!!!!

This life is too short kusubiri mambo yatokee yenyewe! You have to make the shit happen!

So, are you gonna jump in bed with guys and tarnish your dignity just for the sake of iPhone????? How silly is that? No wonder HIV still kills in Africa
 
hee yamekuwa haya!
lakini imeonyesha wewe unadeal na females(nasisitiza females sio wanawake) wa aina gani!
kazi kwao wenye madongo yao!
ila Karucee umetibua nyongo za watu huku sis!lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom