Tabia za ajabu kwa wanaume

Tabia za ajabu kwa wanaume

Siku hizi kuna kasumba ya wanawake kulazimisha ndoa kufanyika haraka Hata Kama mwanaume hakuwa tayari au kujipanga!
Matokeo ndo hayo mimba zisizotarajiwa na wanaume!
 
Ndio mnamanisha hiv???
IMG-20180415-WA0042.jpg
 
ZIWA LILILOLALA UKIWA UNALINYONYA, NI KAMA UNAKUNYWA MAJI YA KANDORO VILE
 
Jamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira

Mungu awabariki.
Mama yangu ameolewa hata hivo,sasa wewe unalaza ziwa kwa kunyonyesha vibabu utajifananisha na waliozaa na kulea?
 
Jamani kuna baadhi ya wanaume wanakera sana naomba kabla ya kuumaliza siku ya leo naomba nitoe la moyoni,, utakuta mwanaume anaandika threads,sms au post za hivi ''unakataa kuolewa wakati ziwa limelala km ndala au anaandika umezalishwa mitoto mitatu alafu bado una ringa,,, hivi wewe mwanaume unae andika hivi una mama?? na km unae ulinyonya?? na km ulinyonya maziwa wa mama ako yakoje?? naomba kukuambia ukweli tu km wewe ni mwanaume mwenye tabia hii basi jua wewe ni taahira

Mungu awabariki.
Taahira mwenyewe kabla sijasahau
 
Baeleze baeleze hao........jingine utasikia sioi single mother!nawakti dada zake nima single mother wenye watoto 3,4....Renyewe limelelewa na single mother......mtandaoni ndo linajitoa ......nawakat likio hako kasicha watatibuana nakuwa single dadi.Mama **yoooo!!.
wewe kweli yambuna,hueleweki ulichoandika
 
Back
Top Bottom