1.Mwanamke aliyezaa ameshakuwa na familia tayari,
2.Mwanamke akishazaa kuna vitu vitu vingi anapoteza kimwili,
3.Mwanamke akishazaa anapoteza ule ubichi kuanzia papuchi mpaka mtindi unashuka grade,
4.Mwanamke aliyezaa anaingia kwenye familia mpya huku akiwa na majukumu ya kimalezi katika familia aliyoianzisha na mwanamme mwingine while wewe unaingia ukiwa fresher' huku ni kutokujitendea haki,
5.Mwanamke aliyezaa ni sawa na kuchukua gari used na lililochakaa while kuna kuna gari mpya za aina hyo hyo in the same show room,
6.Uncle mwanamke hawezi kukupenda wewe kuzidi anavyompenda mwanae' hilo ulitambue iwe mtoto ni wako or syo wako.
7.Mwanamke aliyekamilika atapata shida sana pale anapomsikia au anapomuona mwanamume aliyemzalisha mkewe, iwe ni kwenye msg za simu ya mkewe or hata kulisikia jina lake, Bcz yule ataoneka ni superior zaid yako bcz he was the first in everything.