Tabia yako mbaya wala hujanitongoza!!

Tabia yako mbaya wala hujanitongoza!!

kwanza nenda kwa doctor hebu kaangalie HIV ni positive or negative kabla ya kwenda kwengine...
 
HAHAAAAAAAAAAA!

Binti hajakaribishwa Mujini kwenye mchezo wa sasa!

IN TOWN SEX STRICTLY REMAINS SEX AND LOVE REMAINS LOVE!!!!!!!! THE BOUNDARIES ARE BRIGHTER THAN YOUR FUTURE!!!!!!!!!!! You are highly warned NOT TO EXPECT MORE THAN WHAT YOU BARGAINED FOR IN THE DEAL!!!!!!!

A guy can shugg you for a whole year and will never say he loves you even with a pistol pointed at his brains! (THE WORD LOVE IS JST TOO VALUABLE FOR HIM!!!! TO SAY HE LOVES U IS LIKE SELLIN HIS SOUL)

:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:

Exactly, you couldn't be more precise!! I love you kutoka kwangu wamesikia wanawake wawili tu maishani... wengine wote ni kugegedana tu. Yale maneno matatu hayatoki kimchezo ati
 
mnachoonga utadhan hamyafanyi vile...
 
Wadada wa siku hizi bwana mi nashindwa hata kuwa-define, eti mdada nimemlaghai kaingia mpaka ndani ya 18 na baada ya ku-apply skills za kutosha mwenyewe akaamua kutoa mzigo. Mwisho baada ya mechi ananinunia eti tabia yangu mbaya sijamtongoza, kwani kutongoza kuna maana gani ikiwa nilichokitaka nilikipata au kwa kua sikumwambia "nakupenda" toka mwanzo wa mchakato mpaka unamalizika. hebu wakubwa zangu niwekeni sawa kwani maneno gani halisi ya kumwambia ili aweze kuachia "uwazi"?
Huyo labda changudoa...
 
Acha uzinzi ni dhambi, mithali 6:32 biblia inasema mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa.
 
Mlete kwangu nimtongoze akiridhika atarudi kwako amefurahi. Mabwaku. LOL.
 
wewe ni MLIBERALI???

Maneno ya Mfalme Suleimani hayo kaka...

Mithali 6:32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

NB: Next time acha kutumia lugha za wanasiasa
 
hahaaaaaaaaaaa!

Binti hajakaribishwa mujini kwenye mchezo wa sasa!

In town sex strictly remains sex and love remains love!!!!!!!! The boundaries are brighter than your future!!!!!!!!!!! You are highly warned not to expect more than what you bargained for in the deal!!!!!!!

A guy can shugg you for a whole year and will never say he loves you even with a pistol pointed at his brains! (the word love is jst too valuable for him!!!! To say he loves u is like sellin his soul)

:a s-coffee::a s-coffee::a s-coffee::a s-coffee::a s-coffee::a s-coffee:
i conqure with u aisee wanaume niwazito sana kusema i love u except play boys
 
Back
Top Bottom