Tabia yako mbaya wala hujanitongoza!!

Tabia yako mbaya wala hujanitongoza!!

HAHAAAAAAAAAAA!

Binti hajakaribishwa Mujini kwenye mchezo wa sasa!

IN TOWN SEX STRICTLY REMAINS SEX AND LOVE REMAINS LOVE!!!!!!!! THE BOUNDARIES ARE BRIGHTER THAN YOUR FUTURE!!!!!!!!!!! You are highly warned NOT TO EXPECT MORE THAN WHAT YOU BARGAINED FOR IN THE DEAL!!!!!!!

A guy can shugg you for a whole year and will never say he loves you even with a pistol pointed at his brains! (THE WORD LOVE IS JST TOO VALUABLE FOR HIM!!!! TO SAY HE LOVES U IS LIKE SELLIN HIS SOUL)


:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
umeongea ukweli kabisa,wanume wengi huwa hawapendi kusema i love u mpk awe anamaainisha tatizo,wanawake wenyewe wanapendwa kudanganywa uutakuta anakuuliza hivi unipenda kweli sasa unafikiri hapo utamjibu nini?
 
atakuwa alimpiga mtama

hahahaha umenifurahisha sana mkuu....hakuna mtama mtoto kapewa vituko tu vya hapa na pale mwenyewe kaweweseka sasa tena baadae anadai tongozo ana wazimu sana yule.
 
au hakukolea?
hahahaha umenifurahisha sana mkuu....hakuna mtama mtoto kapewa vituko tu vya hapa na pale mwenyewe kaweweseka sasa tena baadae anadai tongozo ana wazimu sana yule.
 
Ungeanza kumtongoza baada ya kupata utamu (nonino) asingekununia.



Wadada wa siku hizi bwana mi nashindwa hata kuwa-define, eti mdada nimemlaghai kaingia mpaka ndani ya 18 na baada ya ku-apply skills za kutosha mwenyewe akaamua kutoa mzigo. Mwisho baada ya mechi ananinunia eti tabia yangu mbaya sijamtongoza, kwani kutongoza kuna maana gani ikiwa nilichokitaka nilikipata au kwa kua sikumwambia "nakupenda" toka mwanzo wa mchakato mpaka unamalizika. hebu wakubwa zangu niwekeni sawa kwani maneno gani halisi ya kumwambia ili aweze kuachia "uwazi"?
 
Last edited by a moderator:
Wadada wa siku hizi bwana mi nashindwa hata kuwa-define, eti mdada nimemlaghai kaingia mpaka ndani ya 18 na baada ya ku-apply skills za kutosha mwenyewe akaamua kutoa mzigo. Mwisho baada ya mechi ananinunia eti tabia yangu mbaya sijamtongoza, kwani kutongoza kuna maana gani ikiwa nilichokitaka nilikipata au kwa kua sikumwambia "nakupenda" toka mwanzo wa mchakato mpaka unamalizika. hebu wakubwa zangu niwekeni sawa kwani maneno gani halisi ya kumwambia ili aweze kuachia "uwazi"?

kuachia uwazi au aendelee kuachia uwazi? :A S-coffee:
 
Back
Top Bottom