Tabia yake hii inanitesa

Tabia yake hii inanitesa

come on man! Nini maana ya jukwaa la mapenzi na urafiki?nini maana ya kuleta huu uzi?
Kwani hata ungekuwepo wakati wanatongozana ungeleta tofauti gani?
Stop being mean and negative dude! Life is too short to hate
Wewe unaona hii ishu ni ya kuleta humu?? Kama ameshindwa kuliona hilo kwa miaka miwili lazima atakuwa na matatizo kweli. Hivi unaishije kwa kuelekezwa cha kufanya na mwanamke kwa miaka miwili mfululizo??!!!!
 
miluzi mingi humpoteza mbwa uelekeo. Fanyia kazi ushauri wa wadau hapo juu.
 
Kwa hiyo hata wakati wa majamboz wewe unakuwa chini, yeye juu (lady on top)......?
 
Wewe unaona hii ishu ni ya kuleta humu?? Kama ameshindwa kuliona hilo kwa miaka miwili lazima atakuwa na matatizo kweli. Hivi unaishije kwa kuelekezwa cha kufanya na mwanamke kwa miaka miwili mfululizo??!!!!

kila mtu anamaudhaifu yake! Na had kuleta huku that means yamemshinda . Angelata huku ndani ya mwezi wa ndoa ungesema sio mvumilivu!
 
zungumza nae na umueleze hayo yanayokusibu ili mpate ufumbuzi si ajabu yeye anaona yupo sawa
 
tafuta udhahifu wake kaka coz ameshajuwa huzaifu wako.huluki huchomoki., ww ni kama dereva na abilia ukibugi tu unamwaga damu.kama unaexperiance na wanawake unajuwa nn cha kufanya. siwezi kukupa ushauri zaidi coz hujanijibu maswari yangu 2.
 
Nakuona hauko sawa, kwa nini ulikubali kwa kipindi chote hicho akukalie kichwani?

Angalau kwa uzoefu wangu kidogo wa kuishi na watu, Wanawake hupenda kutawala, kinachowazuia tu kutokuwa juu ni misimamo yetu Wanaume, ila ukiwa legelege atakupeleka sana.

Wewe ndiye kichwa hakikisha unadhibiti hali before its too late
 
chonde chonde,,,isije fikia hapa
429456_10151340748035252_1412152833_n.jpg
 
Aisee hiyo tabia inakera kweli...
Nina jirani yangu hapA ndio anamfanyia mume wake tabia hyo...
HatA kwenye mazungumzo unakuta jamaa anaongea bibie anamkosoa hapo hapo tena kwa mamlaka sie wa pembeni tunajiinamia...
Bi mama hataki jamaa hata asalimiane na majirani au akae na wenzie kidogo wabadilishane mawazo...
Akijaribu tu bibie anamfata...
Au we ndio jirani yangu mwe....
Cha msingi wewe ni kichwa cha familia kuwa hicho kichwa kweli..
Mweleze wazi tabia hiyo huipendi kama haelewi vitendo vinaongea zaidi.
Ila inawezekana kuna kaulegevu kwako kwenye kutimiza wajibu wako kama kiongozi wa familia...inawezekana kuna mambo ambayo kimsingi ulipaswa udhughulikie wewe lakini hufanyi hivyo na yeye ndio anafanya...hii pia inaweza kuchangia tabia hiyo....
Jikague amka be a man...a real man.

Ni vizuri akimweleza kwa vitendo. Kwa njia ya mazungumzo hatafanikiwa. Mfano waendapo kanisani kama alivyosema, akimwambia tukae upande huu, aende opposite.

Binafsi najisikia vibaya sana mwanamke anavyomtendea mwanaume hivi. Ninapoishi yupo baba mmoja kama miaka 60 hivi na wife ni around 40. Anavyomfanyia mzee wa watu, utamwonea huruma.
 
Aanza maandamano ya moyoni anza kugoma kimya kimya mwisho wa siku atakaa relini mwenyewe.
 
Halahala usijegeuzwa mume ----- ukalazwa chini
 
Talk to her...muambie live akuachee ulalee na uendelee na maisha yako private,mambo ya hadi kuchaguliana upande wa kukaa church sio ishuu
 
Kama hii stori ni ya kweli, basi wewe unamatatizo kumkichwa...I mean hauko sawa kichwani.

Anyway hayo ni maisha yenu na wakati mnatongozana hatukuwepo...ahsante napita zangu

dah ivi mwaka wa ngapi huu upo kwenye handak hujaona jua?
 
Haya ndio madhara ya kupuuzia kasoro ktk uchumba. Hakuna cha zaidi,komaa naye tuu si mkeo...
 
Wewe mkuu utakuwa ni shingo katika familia sio tena kichwa..
 
poleni sana kaka. onyesha msimamo kama mwanaume , mwambie wewe nimwanaume uliemuoa yeye , wewe ndiyo wakumuongoza yeye siyo yeye kukuongoza wewe.fanya maamuzi sasa ya kuwa kiongozi wa familia yako
 
Anatakiwa siku moja amlabue makofi, atajishusha atake asitake.
 
Back
Top Bottom