Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,733
- 6,635
Sugar mumy!!!Sugar daddy!
Sugar mumy!!!Sugar daddy!
Jibu swali langu.
#&$&$&#**#&&$&Show me how that is any of your business, and I will. Other than that, I'd appreciate if you vamoose and keep off my D, thank you.
Pole mkuu. Ila subiri hao wazee wakizaa na hao wasichana walioko chuo sasa hivi utakuja na wewe kuwachukuwa watoto wao utakapokuwa mzee. Hapo ngoma inakuwa ndoo.Hivi ni hulka, ushamba, umasikini, ulimbukeni au tamaa ya fedha kwa dada zetu vyuoni kujihusisha kimapenzi na watu wazima kama wazazi wao? I ask so because have experienced, my x tried to lie kwamba i am the only one to her.
Ila kadri siku zilivyozidi kwenda nikagundua ana mahusiano na mzee mmoja mwenye familia sitomsahau katika historia ya maisha yangu.
#unadhani shida ni nini hasa mdau?
vijana wenyewe hawayafanyi hayo? wew una umri gani maana ukute na wew unaelekea huko MwalimuWazee
. Wanajali
. Wanapenda
. Wanadekeza
. Wanahonga
. Sio wasumbufu kukulinda linda
. Waelewa ukimwambia darlin sipo good leo anasema pole mama, kijana ataanza unazingua acha uduwanzi lelelee makelele pyeee
. Wanakojoza asikwambie mtu
Nawapenda sana wazee, mzee Asprin nakusalimia
Mzee Baba V popote ulipo nakumiss mfano wake hakuna
Kati ya hayo vijana wanafanya lipi?vijana wenyewe hawayafanyi hayo? wew una umri gani maana ukute na wew unaelekea huko Mwalimu
umeongea vizuri sana maana hata kumkojoza mtu ni hisia zake tu.
hujampata kijana wa kukudekeza mwalimu, wapo wengi tu nikiwemo na mim japo umri umesogea.Kati ya hayo vijana wanafanya lipi?
Siri ya wazee twaijua wenyewe nyie acheni bana
Kama umri umesogea unahitaji kusajiliwa kwa wazee teh mzee juniorhujampata kijana wa kukudekeza mwalimu, wapo wengi tu nikiwemo na mim japo umri umesogea.
huo msemo ni mkali sanaMwanamke siku zote hutaka kuwa na mwanaume mwenye kumhakikishia usalama wake.
Kama unakumbuka kwenye T-shirt zenu mliwahi kuandika "Silaha pesa, kisu /bunduki mzigo"
Kijana gani wa zama hizi anakesha kifuani Thubutuuuuuuu dakika 20 akizimaliza tu anastahili kupigiwa makofiWanafuata mteremko huko,,,, unakuta mzee anahudumia vizuri afu anapiga kamoja tu analala sasa nyie vijana pesa zenyewe hamtoi afu unataka ukeshe juu ya kifua cha mwenzio!!!
No, He is Brazilian!Are you American?
Unajua tatizo hao uliokutana nao wana muonekano wa ujana lakini ukichunguza vizuri unakuta umri umeshaenda .... usiombe ukakutana na sebene la kijana wa aina yangu ...... huwa wanasemaga baby tupumzike kidogo..Kijana gani wa zama hizi anakesha kifuani Thubutuuuuuuu dakika 20 akizimaliza tu anastahili kupigiwa makofi