Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

Tabia ya Waarabu kugawa nyama misikitini imekaaje?

Nilipata bahati kwenda Muscat ikifika mwezi wa ramadhani watu ufungua mageti misosi inapangwa unafanywa kuvutwa shati upate ata maziwa tu .watu wanajaza misosi kwenye Rangerover kutafuta walaji .ukifika mwezi wa huo sijawahi pika geto
🤣 hahahaaa
 
Wabongo bana
Hizo nyama hazina madhara yoyote wala,nimezila sana kuanzia utotoni huko.Hapa kuna jirani yangu ni ustadhi,yeye amewekeza kwenye kilimo cha mpunga huko ifakara,kipindi cha mavuno huwa anatugawia majirani zake debe la mchele kila mmoja.
Nilichojifunza hawa waislamu wana upendo wa dhati kwa jamii kuliko sisi wakristo...wana mapungufu yao mengine tu kama wanadamu ila swala la upendo tusiwaseme vibaya.
Kyagata njoo uchukue nyama!!!!!Mm mwenyewe mwarabu wa kisiwa ndui kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila uje umevaa msulišŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ˜‹šŸ˜‹šŸ˜‹
 
Afrika haiendelei sababu ya hizi mindset za kupenda vya kupewapewa, mijitu imekuwa mitegemezi kiasi kwamba haitumii akili tena, bali hisia za njaa na kupenda mseleleko.

Hayo mavitu mnayopewa bure jitazameni sana tena sana, waarabu na Roho zao mbaya waanze kukusaidia mtu mweusi wasiekupenda how come? Vitu vingine hata haviitaji akili nyingi kutumia kuona ubaya/uzuri wa kitu.

Kama ni sadaka wangegawa hayo mavyakula yao kwa omba omba na sio msikitin, kama ni msaada basi wangefund wahitaj wa ada za shule, matibabu, fedha na mikopo kwa wahitaji na sio kutoa chakula chenye faida ya siku moja na hasara ya milele.

Ukiwaangalia watu wanaopenda kula hayo mavyakula hata akili zao huwa za kipumbavu, bila kusahau mafukara/masikini ndio hawa hawa wazee wa kupenda kula vitu wasivyojua vimenuiwa mambo gani.

Tazama kundi kubwa la waislam ni masikini choka mbaya, bila kusahau ufinyu wa akili, kama huamin tazama hata shule zao utaona matokeo ya wanafunzi ni hovyo.

Hao waarabu hawana tofaut na babu zao walioharibu maisha ya waafrika wa zaman, bado roho ya chuki na ushetan uko ndan mwao, that's why utawaona wakirudi kwa njia za kidini na misaada ya vyakula kwa kuita sadaka special kwa misukule yao inayoamini dini za kigeni na kupenda kupewapewa bila kufanya kazi.

Hayo mavyakula wameshafanyia dua zao za kishirikina na kukupa wew mlala hoi ule uwatimizie wao maombi yao, utabaki fukara na tegemezi wakat wao wakifanikiwa.

Tazama sana hata humu wanaojinasibu kushiriki hayo maujinga ya kula kula hata maisha yao ni hovyoo bila kusahau akili zao hovyo ndiomaana hawaambiliki hata uwaambie side effects za kula vitu vya matambiko, kwakuwa wamesharogwa na miungu ya waarabu, the same way kwa kondoo za jumapili zinazojiita wakristo kwa kushiriki tambiko la meza ya bwana, eti kula na kunywa mwili na damu ya yesu huu nao ni ushirikina vile vile.

Dini zote ni utapeli.
Facts
 
Watu wale nyama za bureeew watu waleeee.
Jaman pia pake mivinjeni pana chakula cha bureew

Watu mkapige mbwabwaaaa
Kaka uchira napajua pale🤣🤣🤣🤣🤣🤣Napaonaga nikiwa natokea mbagala kaka
 
Kama wamepika wali halafu mkala watu 200,mmja lazima afe ,hyo ni kama kafara
 
Mkuu

Ni simple TU

Mungu wa waislam anagawa vitu KWA WATU Mbali Mbali!

Lakini Mungu anaehubiriwa kwenye makanisa Mengi anakusanya vitu KWA WATU!

Chunguza ulete mrejesho mkuu

Japo YESU aliegawa Sana KWA watu kama samaki wale na mikate lakini watumishi na makanisa Mengi ya kileo yanakusanya kuliko kugawa KWA watu!!!!

Chunguza kwa MAKINI nilichoandika Hapa!!
Sio kweli ukitaka kufahamu Hilo mtuambie mmjejenga shule ngapi na hospitali ngapi na mna vituo vingapi vya yatima
 
Mkuu

Ni simple TU

Mungu wa waislam anagawa vitu KWA WATU Mbali Mbali!

Lakini Mungu anaehubiriwa kwenye makanisa Mengi anakusanya vitu KWA WATU!

Chunguza ulete mrejesho mkuu

Japo YESU aliegawa Sana KWA watu kama samaki wale na mikate lakini watumishi na makanisa Mengi ya kileo yanakusanya kuliko kugawa KWA watu!!!!

Chunguza kwa MAKINI nilichoandika Hapa!!
Nyie mnachojua ni kuongeza mitala tuu,
 
Mbona ninyi mnaleta watoto wenu shuleni kwetu why msiwwapelek hizo shule zenu

[emoji23][emoji23][emoji23] af majini yao magumu sana kusikia [emoji23][emoji23][emoji23] ona wanawake wazuri wana majini kichwani waaarabu wamewaletea majini kisa utajiri hakuna cha utajiri wala nini wanaishia kununua kazu za 3000 pale kariakoo


Huna aibu binadamu dhalimu wewe haki unaijua ila unajivisha miwani ya mbao na unafiki kwamba huioni haki kazi kuwekea vikwazo haki na uhubiri wa mtume Muhammad
 
"Blessed be the hand that giveth than the one that taketh" jamaa wanatembea na hii formulary wanazid kubarikiwa na wanaopokea wangejua hii umuhimu wa kutoa ,wangekua wanatoa hata magunia ya ukwaju kuwapa hao waarabu ili wasipitwe na baraka pia
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
USHAURI : Kama huna Imani na mamlaka katika Jina LA Yesu ya kutengua yaliyonuizwa juu ya hizo nyama usizipokee. Narudia kusema, huu in ushauri tu.
Ahsante
 
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu kujitolea ni jambo zuri sana ila pia inatakiwa uangalie huko kujitolea kwako kuna faida gani na hiyo faida ni yakuendelea au ni ya muda mfupi, watu wanasema ni heri ukampa mtu mbegu ya tunda kuliko tunda.

Tuendelee...
Hii kitu kusema ukweli haiingii akilini mwangu kabisa, jamaa wanakuja kwa mwezi hata mara 3 au zaidi na wanachinja ng'ombe, mbuzi, kondoo, yaani jumla inaafika 70 na zaidi kila mtu anapata nyama kg 1 mchele kg1 yaani hata mkitoka familia yote kwenu kila kichwa cha mtu kitapata hivyo; pia huwa inategemeana na siku hiyo kama kuna watu kiasi gani.

Na ni misikiti yote huko kijijini nilikotoka, huwa wanahama tu leo huku kesho kule.

Swali, wanatoa wapi hizi hela hawa Waarabu, au wametuona sisi tuna shida na nyama na wali kuliko elimu au vitu vingine?

Na je, ni kweli hao watu wanaowapa nyama shida yao ni nyama tu?

Na mwisho wake lini? Maana ndugu ukishuhudia hiyo mifugo inayochinjwa, lazima utajiuliza maswali mengi!

Nawasilisha akina nani, msije na hasira.
Iyo ni sadaka wanatoa,wanajua masikini hawezi afford nyama na mchele...Wangekua wanawapenda sana wangewapa madarasa ya ujasiriamali lakini wapi...wao wanapata baraka zaidi kwa kutoa...hao wanaopokea wanasubiri watarudi tena wakiwa na maisha yaleyale miaka yote.

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Nyie mnachojua ni kuongeza mitala tuu,

Kwani ibrahim baba yako wa imani alikuwa nao wangapi!?

Na yakobo naye !?

Na suleiman je!?

Ulisikia MUNGU amewaonya!?

Kama unamuiga YESU yeye hakuoa na wewe usioe!

Kama mnasema MUNGU aliumba MWANAMME pekee na mwanamke pekee wawe mwili MMOJA!mkumbuke KILA kiumbe waliumbwa WAWILI wawili je na wao ni mwili MMOJA!!!?
 
Back
Top Bottom