Naye yupo hivo.?Mungu wangu! Huyu sio rafiki yangu Happy amekupa huu ujumbe uje kuuweka hapa kweli? Anyways,nami nina la kujifunza hapa maana sio kwa kumchosha kule best yangu.🤦♀️
Hii ni too much hata kama umesaidiwa katika maisha sio kwa kubeba mzigo mzito kiasi hiki.... hongera mkuu una moyo mkubwa sana.Mimi ninakaa Gheto na Mshkaji.
- Anakunywa Pombe Balaa ( Mshahara wake haumalizi siku 5 ).
- Anavuta Bange Balaa, Tena Wakati Mwingine Uko Gheto Umelala - Yeye Anatoa Anawasha.
( Nilishamwambia Moshi Wa Bange Unaniumiza, Ila Hajali ).
- Akinywa Pombe Mpaka Anazima, Anatapika na Kukojoa Gheto. Usafi ni Mimi.
- Pesa Ya Chakula Hachangii Wala Kodi, Ni Bange Na Pombe tu Ndo Kazi.
- Akiishiwa Hata Nauli Na Hela Ya Sigara Anakusumbua Wewe.
Meanwhile, Mimi Sivuti Chochote wala Sinywi Pombe.
Naishi Nae Kwa Kuwa Na Mimi Mwenyewe Nimesaidiwa Sana Na Watu. Ingawa Ndo Hivyo Vingine Ni Kuvumiliana Tu.
Kweli kabisa hauwezi kujua kesho. Urafiki ni kuvumiliana na kusaidiana kwa hali na mali.Urafiki ni kusaidiana, kuvumiliana na kubebeana madhaifu. Wewe umebarikiwa kitu kingine naye kabarikiwa kingine, mnasaidiana kwa kile kila mmoja wenu alichobarikiwa kuwa nacho.
Nimekuwa nakusoma saana hapa jukwaani.Urafiki ni kusaidiana, kuvumiliana na kubebeana madhaifu. Wewe umebarikiwa kitu kingine naye kabarikiwa kingine, mnasaidiana kwa kile kila mmoja wenu alichobarikiwa kuwa nacho.
Dogo umewaza kama mimiParagraph ya kwanza umetuonyesha jinsi unavyo furahia mambo anayokufanyia..
Para iliyofuata ubatuonyesha jinsi wewe usivyopenda kutaka kumfanyia msaada yeye.
Binaadamu mzigo wa miiba. Hard to carry it



Afu wewe kuniita hvo..Dogo umewaza kama mimi![]()
Huyo wa kwako ni mwiba..muachie chumba kapange kwingine.Mimi ninakaa Gheto na Mshkaji.
- Anakunywa Pombe Balaa ( Mshahara wake haumalizi siku 5 ).
- Anavuta Bange Balaa, Tena Wakati Mwingine Uko Gheto Umelala - Yeye Anatoa Anawasha.
( Nilishamwambia Moshi Wa Bange Unaniumiza, Ila Hajali ).
- Akinywa Pombe Mpaka Anazima, Anatapika na Kukojoa Gheto. Usafi ni Mimi.
- Pesa Ya Chakula Hachangii Wala Kodi, Ni Bange Na Pombe tu Ndo Kazi.
- Akiishiwa Hata Nauli Na Hela Ya Sigara Anakusumbua Wewe.
Meanwhile, Mimi Sivuti Chochote wala Sinywi Pombe.
Naishi Nae Kwa Kuwa Na Mimi Mwenyewe Nimesaidiwa Sana Na Watu. Ingawa Ndo Hivyo Vingine Ni Kuvumiliana Tu.
Chumba ni Home. Nahama vipi. Kumfukuza ni ngumu. Nina huruma sana
Endelea kuvuta Moshi wa mjani..na nikupongeze kwa huruma.Chumba ni Home. Nahama vipi. Kumfukuza ni ngumu. Nina huruma sana
Binafsi urafiki wa hivyo siuwezi. Nawajua sana watu wa hivyo, huwa nature yao ni WAVIVU SANA! Mngekua mpo chuo kazi yake ingekua kukutuma umletee chakula hostelMatatizo yake ni on going yaani sijui mimi ni personal assistant au ni rafiki.
Akitoa bangi tu, mimi natoka nje
Huyu dada ana roho nzuri sana, kuna siku nilitoka safari, nilimkuta mlangoni ananisubiri na kapu ndani likikuwa na maziwa, mikate, matunda, nyama, mchele na mazagazaga kibao. Aliniambia pika ule upumzike mpaka utakapopata muda wa kufanya shopping.Binafsi urafiki wa hivyo siuwezi. Nawajua sana watu wa hivyo, huwa nature yao ni WAVIVU SANA! Mngekua mpo chuo kazi yake ingekua kukutuma umletee chakula hostel
Hate it! Sifanyagi hiyo kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina rafiki ki umri amenizidi miaka miwili lakini Hii ni age range moja. Huyu rafiki ananipenda mno siwezi kukata, ananichukua kama ndugu yake wa damu. Mfano tu kulikuwa na safari kanisani tulitakiwa kuchangia usafiri, malazi na chakula. Ilikuwa laki tano jumla, wakati ninajipanga niitoe, shost aliniambia amelipa ya kwake pamoja na ya kwangu. Nilimuambia nitamrudishia alikataa kabisa.
Alikwenda holiday akaniletea designer handbag, kwakweli gharama yake nisingewaza kununua kwa pesa yangu.
Tatizo linakonikera anapenda sana kufanyiwa mambo mengi. Mfano ukimwambia kuna kazi nimeona wanatangaza, atakuambia Uje basi nyumbani unisaidie kujaza fomu. Ukifika kwake anakupa computer hii, majina yangu ni haya. Kheri angesama nilijaribu nineshindwa ninaomba msaada.
Kibaya zaidi hata academic work, anaomba msaada, ataniita amepika chakula, kuna glass ya wine kumbe amekuitia assignment yake ya darasani.
Kama anashindwa assignment hii course si aiache. Kwakweli ninampenda lakini urafiki unanishinda.
Umemwambia haya yote kabla hujaja kumnanga hapa ?Nina rafiki ki umri amenizidi miaka miwili lakini Hii ni age range moja. Huyu rafiki ananipenda mno siwezi kukata, ananichukua kama ndugu yake wa damu. Mfano tu kulikuwa na safari kanisani tulitakiwa kuchangia usafiri, malazi na chakula. Ilikuwa laki tano jumla, wakati ninajipanga niitoe, shost aliniambia amelipa ya kwake pamoja na ya kwangu. Nilimuambia nitamrudishia alikataa kabisa.
Alikwenda holiday akaniletea designer handbag, kwakweli gharama yake nisingewaza kununua kwa pesa yangu.
Tatizo linakonikera anapenda sana kufanyiwa mambo mengi. Mfano ukimwambia kuna kazi nimeona wanatangaza, atakuambia Uje basi nyumbani unisaidie kujaza fomu. Ukifika kwake anakupa computer hii, majina yangu ni haya. Kheri angesama nilijaribu nineshindwa ninaomba msaada.
Kibaya zaidi hata academic work, anaomba msaada, ataniita amepika chakula, kuna glass ya wine kumbe amekuitia assignment yake ya darasani.
Kama anashindwa assignment hii course si aiache. Kwakweli ninampenda lakini urafiki unanishinda.