Tabia ya rafiki yangu ni mtihani

Tabia ya rafiki yangu ni mtihani

Mungu wangu! Huyu sio rafiki yangu Happy amekupa huu ujumbe uje kuuweka hapa kweli? Anyways,nami nina la kujifunza hapa maana sio kwa kumchosha kule best yangu.🤦‍♀️
Naye yupo hivo.?
 
Mimi ninakaa Gheto na Mshkaji.

- Anakunywa Pombe Balaa ( Mshahara wake haumalizi siku 5 ).

- Anavuta Bange Balaa, Tena Wakati Mwingine Uko Gheto Umelala - Yeye Anatoa Anawasha.
( Nilishamwambia Moshi Wa Bange Unaniumiza, Ila Hajali ).

- Akinywa Pombe Mpaka Anazima, Anatapika na Kukojoa Gheto. Usafi ni Mimi.

- Pesa Ya Chakula Hachangii Wala Kodi, Ni Bange Na Pombe tu Ndo Kazi.

- Akiishiwa Hata Nauli Na Hela Ya Sigara Anakusumbua Wewe.

Meanwhile, Mimi Sivuti Chochote wala Sinywi Pombe.

Naishi Nae Kwa Kuwa Na Mimi Mwenyewe Nimesaidiwa Sana Na Watu. Ingawa Ndo Hivyo Vingine Ni Kuvumiliana Tu.
Hii ni too much hata kama umesaidiwa katika maisha sio kwa kubeba mzigo mzito kiasi hiki.... hongera mkuu una moyo mkubwa sana.
 
Urafiki ni kusaidiana, kuvumiliana na kubebeana madhaifu. Wewe umebarikiwa kitu kingine naye kabarikiwa kingine, mnasaidiana kwa kile kila mmoja wenu alichobarikiwa kuwa nacho.
Kweli kabisa hauwezi kujua kesho. Urafiki ni kuvumiliana na kusaidiana kwa hali na mali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urafiki ni kusaidiana, kuvumiliana na kubebeana madhaifu. Wewe umebarikiwa kitu kingine naye kabarikiwa kingine, mnasaidiana kwa kile kila mmoja wenu alichobarikiwa kuwa nacho.
Nimekuwa nakusoma saana hapa jukwaani.

Wewe ni nanilihii?.. Nikiandika haya mavitu kama ni wewe utayakumbuka... Emba...KRT...E....waha??
 
Ubinadamu kazi, akikufanyia wewe sawa ila wewe kumfanyia na uzi umefungua. Ukipenda kupokea penda na kutoa.
 
Paragraph ya kwanza umetuonyesha jinsi unavyo furahia mambo anayokufanyia..
Para iliyofuata ubatuonyesha jinsi wewe usivyopenda kutaka kumfanyia msaada yeye.

Binaadamu mzigo wa miiba. Hard to carry it
Dogo umewaza kama mimi
 
Mimi ninakaa Gheto na Mshkaji.

- Anakunywa Pombe Balaa ( Mshahara wake haumalizi siku 5 ).

- Anavuta Bange Balaa, Tena Wakati Mwingine Uko Gheto Umelala - Yeye Anatoa Anawasha.
( Nilishamwambia Moshi Wa Bange Unaniumiza, Ila Hajali ).

- Akinywa Pombe Mpaka Anazima, Anatapika na Kukojoa Gheto. Usafi ni Mimi.

- Pesa Ya Chakula Hachangii Wala Kodi, Ni Bange Na Pombe tu Ndo Kazi.

- Akiishiwa Hata Nauli Na Hela Ya Sigara Anakusumbua Wewe.

Meanwhile, Mimi Sivuti Chochote wala Sinywi Pombe.

Naishi Nae Kwa Kuwa Na Mimi Mwenyewe Nimesaidiwa Sana Na Watu. Ingawa Ndo Hivyo Vingine Ni Kuvumiliana Tu.
Huyo wa kwako ni mwiba..muachie chumba kapange kwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi urafiki wa hivyo siuwezi. Nawajua sana watu wa hivyo, huwa nature yao ni WAVIVU SANA! Mngekua mpo chuo kazi yake ingekua kukutuma umletee chakula hostel

Hate it! Sifanyagi hiyo kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dada ana roho nzuri sana, kuna siku nilitoka safari, nilimkuta mlangoni ananisubiri na kapu ndani likikuwa na maziwa, mikate, matunda, nyama, mchele na mazagazaga kibao. Aliniambia pika ule upumzike mpaka utakapopata muda wa kufanya shopping.

Lakini ana visa.
 
Nina rafiki ki umri amenizidi miaka miwili lakini Hii ni age range moja. Huyu rafiki ananipenda mno siwezi kukata, ananichukua kama ndugu yake wa damu. Mfano tu kulikuwa na safari kanisani tulitakiwa kuchangia usafiri, malazi na chakula. Ilikuwa laki tano jumla, wakati ninajipanga niitoe, shost aliniambia amelipa ya kwake pamoja na ya kwangu. Nilimuambia nitamrudishia alikataa kabisa.

Alikwenda holiday akaniletea designer handbag, kwakweli gharama yake nisingewaza kununua kwa pesa yangu.

Tatizo linakonikera anapenda sana kufanyiwa mambo mengi. Mfano ukimwambia kuna kazi nimeona wanatangaza, atakuambia Uje basi nyumbani unisaidie kujaza fomu. Ukifika kwake anakupa computer hii, majina yangu ni haya. Kheri angesama nilijaribu nineshindwa ninaomba msaada.

Kibaya zaidi hata academic work, anaomba msaada, ataniita amepika chakula, kuna glass ya wine kumbe amekuitia assignment yake ya darasani.

Kama anashindwa assignment hii course si aiache. Kwakweli ninampenda lakini urafiki unanishinda.



Wazungu walonga; "A friend in needy is a friend indeed"

Misaada/takrima anayokupa ndiyo inajilipa, huo ndiyo urafiki wa kufa na kuzikana, msaidie ili afanikiwe ili nawewe uundelee kula takrima kutoka kwake na hata ukipatwa na shida iwe rahisi kumuomba msaada, hiyo ni kama investment ili hapo baadaye upate mavuno ni sawa na ng'ombe ili atoe maziwa ya kutosha mpatie nyasi na pumba, no input no output.🤣🤣

Halafu kwanini unatoa siri za rafikiyo hadharani ukimuonyesha rafikiyo ni caput academically🤣,, wanawake bwana lini mtatunza siri??.

Adolf Henchman, yule mnyongaji wa wayahudi kule ujerumani aliponzwa na mkewe hadi akashikwa na makomando wa Israeli kule Argentina , nyie ni hatari kweli mking'ang'ania kitu.🤣
 
Kwa Maelezo Yako Ni Rafk Wamanufaa Hvo Nawe Mfae Kwa Ushauri Daily Ili Aondokane Na Huo Uvivu Usio Maana
 
Nina rafiki ki umri amenizidi miaka miwili lakini Hii ni age range moja. Huyu rafiki ananipenda mno siwezi kukata, ananichukua kama ndugu yake wa damu. Mfano tu kulikuwa na safari kanisani tulitakiwa kuchangia usafiri, malazi na chakula. Ilikuwa laki tano jumla, wakati ninajipanga niitoe, shost aliniambia amelipa ya kwake pamoja na ya kwangu. Nilimuambia nitamrudishia alikataa kabisa.

Alikwenda holiday akaniletea designer handbag, kwakweli gharama yake nisingewaza kununua kwa pesa yangu.

Tatizo linakonikera anapenda sana kufanyiwa mambo mengi. Mfano ukimwambia kuna kazi nimeona wanatangaza, atakuambia Uje basi nyumbani unisaidie kujaza fomu. Ukifika kwake anakupa computer hii, majina yangu ni haya. Kheri angesama nilijaribu nineshindwa ninaomba msaada.

Kibaya zaidi hata academic work, anaomba msaada, ataniita amepika chakula, kuna glass ya wine kumbe amekuitia assignment yake ya darasani.

Kama anashindwa assignment hii course si aiache. Kwakweli ninampenda lakini urafiki unanishinda.
Umemwambia haya yote kabla hujaja kumnanga hapa ?
 
Back
Top Bottom