Lorenzo1
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 530
- 644
Apo waliotengeneza cm wanakwambia *Using higher mobile speeds loads data faster but may decrease battery life*
Utakavotumia 2G...chaji italika lkn ukitumia 3G italika zaid kuliko kias kilicholika kwny 2G... na Ukitumia 4G kitalika zaid ya 2G na 3G.... Ulichojisahau Mtoa mada ni kua kuna zile apps ambazi zenyewe zinafanya Auto sync kila baada ya sec kadhaaa...hvo bs uwashaji wa data tu unaeza ukala chaji tofaut na ungekua umezima hlf uwashe badae.....