Tabia ya kuzima data ni ushamba

Tabia ya kuzima data ni ushamba

4m4 wanamitiani Leo Sijui ww umetoka wap huku
watu wanazima data kuepuka usumbufu wakiwa wanafanya kazi kuna group alikauki SMS
 
Charge ndyo tatizo mkuu, tatizo sio bundle! Pia kumbuka kuna watu hawana kazi kwenye baadhi ya groups wanna chat muda wote, hivyo wanasumbua. Nibora uwashe data muda ambao utatumia/kusoma message na emails
Kuna njia mbadala una force stop whatsapp..ukizima data utakapowasha unadrain battery kwa kasi maana huwa vinakuja kwa mkupuo mpaka ram inazidiwa
 
Umaskini mkuu ndo unasababisha yote haya. Hakuna anayependa kuzima data bali ni masuala ya cash tu yanasumbua..
 
Umaskini mkuu ndo unasababisha yote haya. Hakuna anayependa kuzima data bali ni masuala ya cash tu yanasumbua..
Ukizima data unakuwa umeokoaje umasikini wakati ukiwasha tu inakula zile zote ambazo ulikuwa umezisubirisha?
 
Kuna njia mbadala una force stop whatsapp..ukizima data utakapowasha unadrain battery kwa kasi maana huwa vinakuja kwa mkupuo mpaka ram inazidiwa
Afadhali umemwambia kaka, mara tu utakapowasha data betri, ram na bando vyote vinaliwa kwa kasi.
 
Kuna njia mbadala una force stop whatsapp..ukizima data utakapowasha unadrain battery kwa kasi maana huwa vinakuja kwa mkupuo mpaka ram inazidiwa
Sio kila ukiwasha data ni kwa ajil ya wasap tyu akna mama mbn mnasumbua xkuhiz ndo tatzo lenu msiokua na kaz mda wote mnawaza kuchat tu umbea cjui instagram
 
Kwa hiyo kuacha data ziko on ni ujanja???
 
Back
Top Bottom